Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Mkuu vilikuwa 10 au 100? Maana hesabu yangu imegoma kabisa! Labda kama vilikuwa vinauzwa 23,000/= Turekebishie kwanza hapo mkuu ndo tuendelee!!
Fata blog na waandikie, au unaweza pia kutumia google kuwatafuta au unaweza kwenda BRELA ukapata habari zao zote kwani wamejiandikisha rasmi kama wanavyoeleza kwenye blog yao, kwani kwa sasa na wewe umeshawajuwa kuwa wapo.
Usingojee kila kitu kufanyiwa.
Nenda ubungo plazza kaulize FCC,fair competition commission,ina fanya kazi na ku mtetea mraji,mi niliuziwa flash feki mwaka 2012,nilienda tbs,tbs wakaniambia niende hapo,nilipoenda wakanipa barua niwapeleke walioniuzia flash fake ikisema wanipe hela au wanibadilishie,wakanikatalia kurudisha hela hata kubadilisha,nikaenda kutoa taarifa tena,ndipo nikaondoka nao kutumia gali lao hadi kariaokoo,kufika pale wakaawaambia either wanipe hela yangu au watoe faini milioni mbili,wale jamaa wakaamua kunirudishia hela yangu yote.
kama upo serious fanya hivyo,wewe nenda pale ubungo plaza kaulizie ofisi za fair competiton,watakusaidia,walikuwa hawanijui,wala siwajui,ila walinisaidia kupata haki yangu.
Nenda ubungo plazza kaulize FCC,fair competition commission,ina fanya kazi na ku mtetea mraji,mi niliuziwa flash feki mwaka 2012,nilienda tbs,tbs wakaniambia niende hapo,nilipoenda wakanipa barua niwapeleke walioniuzia flash fake ikisema wanipe hela au wanibadilishie,wakanikatalia kurudisha hela hata kubadilisha,nikaenda kutoa taarifa tena,ndipo nikaondoka nao kutumia gali lao hadi kariaokoo,kufika pale wakaawaambia either wanipe hela yangu au watoe faini milioni mbili,wale jamaa wakaamua kunirudishia hela yangu yote.
kama upo serious fanya hivyo,wewe nenda pale ubungo plaza kaulizie ofisi za fair competiton,watakusaidia,walikuwa hawanijui,wala siwajui,ila walinisaidia kupata haki yangu.
Mimi ni dalali mzuri sana nina ofisi na nimesajili ofisi yangu nafanya udalali profeaaional ukiwa unahitaji mzigo kkoo pls utuconsult wadau kama sisi kwa msaada zaidi wa kupata bidhaa nzuri tena kwa contrct kabisa.
Uelewa wa consumer protection hapa kwetu upo chini sana sana. Wanasheria nao sio wabunifu kupanua wigo wa aina za mashauri wanayochukua, hawatoi ushaurikwa wananchi kuwa wana haki kama hawapati huduma muafaka kwa hela wanayolipa. Mifano michache ni kama insurance claims ukiangalia kwa kina utakuta wanaolipwa ni wachache na hao wanaolipwa kiasi ni kidogo sana kulingana na maumivu wanayoyapata.
. Something has to be done.