Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto mwingi
Mkuu hiki kikubwaHicho si vile vinakaa mdomoni vinanuka kishenzi
😂😂😂😂😂😂😂😂🥲Kuna jamaa angu anasoma medicine nimemtumia kasema eti nikimeze tena huwenda ni kongosho et
Asubuhi ulikunywa nn mkuu...?Dogo kua serious basi, umetapika 5g router na PC. Hilo tumbo la tembo au kasongo??
Madam itakua nn hiiDuh aiseee
Hapa nawaza nikile tena au nikiache maana nahisi kama kulogwa hivi😂😂😂😂😂😂😂😂🥲
Hapa nawaza nikile tena au nikiache maana nahisi kama kulogwa hivi😂😂😂😂😂😂😂😂🥲
Lipia tangazo mkuu usikwepe kodi ya jeiefu. Mods wamekukaushia nawakumbusha
Kuna mshangazi uliuingia chumvini sasa umeanza kuvuna mabande ya chumvi za mawe si ndio?
Ni kilaini au ni kigumu?
Hapa nawaza nikile tena au nikiache maana nahisi kama kulogwa hivi😂😂😂😂😂😂😂😂🥲
Mkuu ebu niwie radhiLipia tangazo mkuu usikwepe kodi ya jeiefu. Mods wamekukaushia nawakumbusha