Msaada: Nimetupiwa kipande nateseka mwaka wa 3 sasa, nahitaji msaada

Pole sana ndugu...

Achana na habari ya kutupiwa kipande kwanza

Una tatizo Moja kati ya haya mawili
1.Kifungo
Ama
2.Una uchawi umelishwa shughulikia Hilo.

Though I'm a Christian, ila usipende kuwaamini sana watu wa Kanisani...
 
Pole sana ndugu...

Achana na habari ya kutupiwa kipande kwanza

Una tatizo Moja kati ya haya mawili
1.Kifungo
Ama
2.Una uchawi umelishwa shughulikia Hilo.

Though I'm a Christian, ila usipende kuwaamini sana watu wa Kanisani...
Asante sana
 
Acha POROJO!!!...motivational speakers naonaga kama mna akili mbovu sana, nyinyi na walokole.
 
Waganga wahuni sana huu MSAMIATI wa kipande wameutoa wapi?
 
Yesu tu ndo anaweza kukuoa
 
Sina ujuzi wa maana za kitabibu lakini kipande ni pepo au jini wa kutengenezwa ambaye anatumwa kwa mtu na kunuiwa namna ya madhara ambayo ataenda kusababisha
Nicheki mkuu. Umaskini mbaya. Na zaidi wenye roho mbaya na za kwanini ndio hao maskini wanaokua bize kukwamisha mafanikio ya wengine. Nashauri ukishamjua mbaya wako au wabaya wako WAUE KICHAWI kama walivyokufanya hvyo kichawi.
 
Chukua bible soma zaburi
 
Sorry wapendwa story imekuja nusu niliandika juzi sasa mods wakaiweka kama commen kwente uzi wa mtu mwingine. So nime past hapa upya ili iwe uzi wa peake imekuja nusu. Nashughulikia kufuta na kuweka upya. πŸ™πŸ»
Labda kipande kimeingilia hadi uzi wa JF Mkuu. Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…