Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rukwa rukwa huko sio? Na vipi maisha kwa sasaHapana
Niko kanda ya Magharibi
Hua nachukia sana upumbavu huu wa kuamin eti Mungu ametaka upate shida na mateso ..this is ruubish kabisa ..sitokaa niamin huu upumbavu. Mungu ametupa brain zenye akili. Tumia akili ku survive kwenye hii dunia, iwe dark ama light..Japo wengine hufikiria kujiua ili kuondokana na hizi shida za dunia lakini mimi NASEMA KAMA MUNGU ALIRUHUSU MATATIZO HAYA KUNIPATA BASI ASIPORUHUSU KUPATA MSAADA WA KUPONA KABISA BASI NITAISHI HIVIHIVI, SIWEZI KUJIUA[emoji1548][emoji375]
Sawa🙏🏻Hua nachukia sana upumbavu huu wa kuamin eti Mungu ametaka upate shida na mateso ..this is ruubish kabisa ..sitokaa niamin huu upumbavu. Mungu ametupa brain zenye akili. Tumia akili ku survive kwenye hii dunia, iwe dark ama light..
Mkuu nakuapia usipochukua hatua madhubuti watakumaliza ..usionee huruma maadui n wachawi..uskae kizembe nakueleza kweliDah maisha kwa sasa changamoto mkuu miguu sasa inasumbua kujaa nimrchrk hospitals Ultrasound na vipimo vya maabara wanasema hakuna tatizo.
Kazini unaenda au huendi?Dah maisha kwa sasa changamoto mkuu miguu sasa inasumbua kujaa nimrchrk hospitals Ultrasound na vipimo vya maabara wanasema hakuna tatizo.
Ndg nimeeleza hapo juu juhudi ninazozifanya mpaka sasa naendelea kufanya ili kuweza kupata kupona sijakaa kwa miaka 3 sasa so unaposema kukaa kizembe nashindwa kuelewa mkuu.Mkuu nakuapia usipochukua hatua madhubuti watakumaliza ..usionee huruma maadui n wachawi..uskae kizembe nakueleza kweli
Wew ni kabila ganKazini naenda ila nikufanya kazi kwa shida ukikaa muda kdg unasimama kuzunguka zunguka miguu inawaka moto na kujaa.
Huyu subiani pambana kumtoaSina ujuzi wa maana za kitabibu lakini kipande ni pepo au jini wa kutengenezwa ambaye anatumwa kwa mtu na kunuiwa namna ya madhara ambayo ataenda kusababisha