Even MOre JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 204 Reaction score 298 Dec 6, 2024 Thread starter #161 Hawa watu kuwafikia imekuwa ngumu kama ujuavyo utaratibu wa kitanzania ras jeff kapita said: Ita padre apige maombi Ita sheikh afukuze mikosi Click to expand...
Hawa watu kuwafikia imekuwa ngumu kama ujuavyo utaratibu wa kitanzania ras jeff kapita said: Ita padre apige maombi Ita sheikh afukuze mikosi Click to expand...
M Mosimo Member Joined Aug 15, 2024 Posts 52 Reaction score 124 Dec 7, 2024 #162 Even MOre said: Alipona? Click to expand... Hapana. Alikuja akaanza kuvimba miguu ikawa inajaa maji. Hamu ya kula ilikata. Akaanza kupoteza kumbukumbu, mwishoni akawa analalamika watu wanamtwisha vitu vizito.
Even MOre said: Alipona? Click to expand... Hapana. Alikuja akaanza kuvimba miguu ikawa inajaa maji. Hamu ya kula ilikata. Akaanza kupoteza kumbukumbu, mwishoni akawa analalamika watu wanamtwisha vitu vizito.
Even MOre JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 204 Reaction score 298 Dec 7, 2024 Thread starter #163 Mosimo said: Hapana. Alikuja akaanza kuvimba miguu ikawa inajaa maji. Hamu ya kula ilikata. Akaanza kupoteza kumbukumbu, mwishoni akawa analalamika watu wanamtwisha vitu vizito. Click to expand... Dah na mimi kwa sasa miguu inavimba na kuwaka moto kwa ndani, lakini hali yake ikoje kwa sasa?
Mosimo said: Hapana. Alikuja akaanza kuvimba miguu ikawa inajaa maji. Hamu ya kula ilikata. Akaanza kupoteza kumbukumbu, mwishoni akawa analalamika watu wanamtwisha vitu vizito. Click to expand... Dah na mimi kwa sasa miguu inavimba na kuwaka moto kwa ndani, lakini hali yake ikoje kwa sasa?