Msaada: Nina appetite iliyopitiliza

Msaada: Nina appetite iliyopitiliza

Aise una minyoo wengi saaana aisee , tena wale warefu (tegu) aise tafuta dawa ya minyoo haraka sana , kula kitunguu swaumu kinasaidia mwenyewe nilikua hivyo ila baada ya hiyo dozi nikashangaa nimebadilika cause minyoo inakula chakula unachofeed ww then unaskia njaa ndani ya mda mfupi,

.Menya kitunguu swaumu punje kumi,
. Ziponde ponde kisha acha huo msagiko kwa dakika kumi ili iweze kurelease allicin ambayo ndiyo huua unwanted parasites tumboni except wale bacterias wanaohitajka kwenye digestive system ya mwanadamu.
. Then chota kijiko kimoja cha mezani huo mchanganyiko kisha angushia maji moto vugu kiasi kwny hivo vitunguu vikiwa kwny kijiko ili iwe rahisi kumeza

Then meza huo mchanganyiko fast usijiekee condition ya kutapika , after three minutes utapata burning sensation tumboni usiogope its cause of the gases zinazokua released na allicin,, so fanya hivo asubuhi ukiamka kabla hujala kitu then chill ata two hours ndio ule (tumia vitunguu saum hivyo on an empty stomach) mi nilitoa choo chote kwanza bfor sikutumia , ukitumia twice yani ukala leo lets say na kesho then hutakua na mnyoo ata mmoja na utakua na afya njema cause garlic help alot in our bodies ... Hope it helps you
 
Aise una minyoo wengi saaana aisee , tena wale warefu (tegu) aise tafuta dawa ya minyoo haraka sana , kula kitunguu swaumu kinasaidia mwenyewe nilikua hivyo ila baada ya hiyo dozi nikashangaa nimebadilika cause minyoo inakula chakula unachofeed ww then unaskia njaa ndani ya mda mfupi,

.Menya kitunguu swaumu punje kumi,
. Ziponde ponde kisha acha huo msagiko kwa dakika kumi ili iweze kurelease allicin ambayo ndiyo huua unwanted parasites tumboni except wale bacterias wanaohitajka kwenye digestive system ya mwanadamu.
. Then chota kijiko kimoja cha mezani huo mchanganyiko kisha angushia maji moto vugu kiasi kwny hivo vitunguu vikiwa kwny kijiko ili iwe rahisi kumeza

Then meza huo mchanganyiko fast usijiekee condition ya kutapika , after three minutes utapata burning sensation tumboni usiogope its cause of the gases zinazokua released na allicin,, so fanya hivo asubuhi ukiamka kabla hujala kitu then chill ata two hours ndio ule (tumia vitunguu saum hivyo on an empty stomach) mi nilitoa choo chote kwanza bfor sikutumia , ukitumia twice yani ukala leo lets say na kesho then hutakua na mnyoo ata mmoja na utakua na afya njema cause garlic help alot in our bodies ... Hope it helps you


uwiii kuhara tena?asante nitajaribu sina minyoo nilipima
 
kwaiyo nyie wote hamfanyagi kazi zakuwakeep busy kila saa mko jikoni? kuleni hata bazoka
 
karibu kufua tu ndo ipo tena nakupa na box la bazoka ili usile ovyo
don't panic I was joking jaman


sijapanik siwezpanic !utanilipa sh ngap mkuu kwa kufua
 
Haaaaaaaaah hv hapa nina popcorn jaman nazifata mbali nyie, kuna kaka anazitengeneza nzuriii za tangawiz bas mie kila siku nikifika pale namwangaliaga tu ananifungia najisepesha !leo sijenda kazini huwz amini nimezifata mjini !uwiii !hapana sio kawaid jaman na wala sio minyoo !

kuna dada mmoja job yy halag kitu jaman zaid ya lunch !ananiambia nina PEPO niende naye kanisani hahahahahha !

Nakupa mwaka... uta hangaika kupunguza manyama uzembe gym. Hio kula kula hio kama una ki mgahawa tumboni shauri yako.
 
yaani huwezi amini nilitaka kuleta uzi kama huu.mimi simalizi masaa mawili bila kutafuna kitu.yaani nakula mdogomdogo kama mchwa.siwezi kula lisahani hilo.ila yaani nakula kula sana
Kwa mwili huo lazima ule ovyo ovyo miss.
 
Jaman nadhani kuna watu wa design kama yangu mie mbinti !Jamani mie nimekuwa napenda kula kula vitu viduchu duchu mnoo !yaani nahisi kuna kitu si bure ! imefikia hatua sikosi kitu cha kula kula, vitu navyopenda sana ni vya sukari sukari ubuyu, bites, popcorn za flavor nzuri na sukari !yaani niliamua kujitune nile matunda nikawa najihisi njaa tu, nikahamia kwenye maji nikaona uzushi yananifanya nile zaidi yaani nikikaa bila kula kula najihisi sipo okey kbs! sina mwili mkubwa sana but nanenepa kiwango cha lami

Nikiwa home weekend ndo kabisaaa !naingia kbs jikoni kupika pika napendelea zaidi kubake ,kufry na kutengeneza smoothies basi ikinijia picha ya samak/au nione nyama nzuri sehemu lazimaaa aisee nitajitahd nipate samaki, nyama nikaange nile, hapo saa 10 utanikuta jikoni natengeneza samosa za pilipili nile au nitatengeneza kitu chochote tu mradi niwe na vifaa !uwiii jamani mbona nahisi kuchoka na siipendi hii tabia?? na mume nimemuambukiza basi uwii nakesha jipikilisha tu !

Madaktari msaada wenu nawezaje acha hii tabia yaani nataka niwe nakula atleast mara 4 tu kwa siku !!!!!!!!!! nikate kabisa ice creams na mazaga zaga yake !nataman kuhamia kijijini ambapo hata unga wa ngano ni adimu au matunda yasiwepo !

cc Miss Natafuta aka miss papa!mpenda kula kama mie
What Causes Increased Appetite?
If you want to eat more often or in larger quantities than you’re used to, your appetite has increased. If you eat more than your body requires, it leads to weight gain.

It’s normal to have an increased appetite after physical exertion or some other activities. But if your appetite is significantly increased over a prolonged period of time, it could be a symptom of a serious illness, such as diabetes or hyperthyroidism.

Mental health conditions, such as depression and stress, can also lead to appetite changes and overeating. If you’re experiencing excessive ongoing hunger, make an appointment with your doctor.

Your doctor may refer to your increased appetite as hyperphagia or polyphagia. Your treatment will depend on the underlying cause of your condition.

Causes of increased appetite
You may have an increased appetite after engaging in sports or other exercise. If it persists, it might be a symptom of an underlying health condition or other issue. For example, increased appetite can result from:

People who have used cannabis (marijuana) regularly and stop taking it may experience increased appetite as a withdrawal syndrome.

Diagnosing the cause of your increased appetite
If your appetite has significantly and persistently increased, contact your doctor. It’s particularly important to contact them if changes in your appetite are accompanied by other symptoms.

Your doctor will probably want to perform a thorough physical examination and note your current weight. They will likely ask you a series of questions, such as:

  • Are you trying to diet?
  • Have you gained or lost a substantial amount of weight?
  • Did your eating habits change prior to your increased appetite?
  • What is your typical daily diet like?
  • What is your typical exercise routine like?
  • Have you previously been diagnosed with any chronic diseases?
  • What prescription or over-the-counter medications or supplements do you take?
  • Does your pattern of excessive hunger coincide with your menstrual cycle?
  • Have you also noticed increased urination?
  • Have you felt more thirsty than normal?
  • Have you been regularly vomiting, either intentionally or unintentionally?
  • Are you feeling depressed, anxious, or stressed?
  • Do you use alcohol or illegal drugs?
  • Do you have any other physical symptoms?
  • Have you recently been ill?
Depending on your symptoms and medical history, they may order one or more diagnostic tests. For example, they may order blood tests and thyroid function testing to measure the level of thyroid hormones in your body.

If they can’t find a physical cause for your increased appetite, your doctor may recommend a psychological evaluation with a mental health professional.

Treating the cause of your increased appetite
Don’t attempt to treat changes in your appetite using over-the-counter appetite suppressants without talking to your doctor first. Their recommended treatment plan will depend on the cause of your increased appetite. If they diagnose you with an underlying medical conditions, they can help you learn how to treat and manage it.

If you’re diagnosed with diabetes, your doctor or dietitian can help you learn how to control your blood sugar levels. They can also instruct you how to recognize the early warning signs of low blood sugar, and how to take steps to correct the problem quickly.

Low blood sugar is also known as hypoglycemia and can be considered a medical emergency. If not properly treated, it can lead to loss of consciousness or even death.

If your appetite problems are caused by medications, your doctor may recommend alternative drugs or adjust your dosage. Never attempt to stop taking prescription medication or change your dosage without talking to your doctor first.

In some cases, your doctor may recommend psychological counseling. For example, an eating disorder, depression, or other mental health conditions usually include psychological counseling as part of the treatment.

Medically reviewed by Deborah Weatherspoon, PhD, RN, CRNA, COI on October 19, 2016 — Written by Ann Pietrangelo

Increased appetite: Causes, Symptoms and Diagnosis
 
Back
Top Bottom