Msaada: Nina madeni Lukuki nifanyeje.

[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mkuu umetisha! Umeeleza ukweli mtupu. Kwamba wengine hawaoni njia
 
ni..kupanga,kuwasiliana..na..wadeni,wako..kuwa..utawapa..mapema,mwa..mwaka..ama..hutowapa..kabisa
wakati,huo..unajiandaa,kwenda..mahakamani.
usikate..tamaa.
 
Ni kwa sababu, kabla hujapata pesa, una mawazo lukuki ya kujenga...

Ukizishika tu, unawaza upuuzi ndiyo maana pesa haikai na hutokaa uione...


Cc: mahondaw
 
When you are in a hole, stop digging. Acha kukopa na "pambana na hali yako" kivingine.
 
Zingizia umekufa uku ukifanya michakato ya kuhama apo ulipo
Japo marehem hudaiwa ila n Mara chache saaana...kuna mchz apa mtaan kwetu alifanikiwa
 
Zingizia umekufa uku ukifanya michakato ya kuhama apo ulipo
Japo marehem hudaiwa ila n Mara chache saaana...kuna mchz apa mtaan kwetu alifanikiwa
Cku iz wanadai ndg zake labda aache risala kabsaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…