Msaada: Nina madeni Lukuki nifanyeje.

Msaada: Nina madeni Lukuki nifanyeje.

Hauko peke yako mkuu! Ingekuwa madeni yanaonekana mwilini ungeshangaa unapishana na watu hawaoni hata njia yalivyo jaa mwili mzima!
Deni LA kuogopa ni la benk tu! Haya mengine ya mtaa kuna njia ya kuyamundu! Njoo PM nikusaidie wanaokudai hata vocha watakununulia wao Kwa huruma!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mkuu umetisha! Umeeleza ukweli mtupu. Kwamba wengine hawaoni njia
 
ni..kupanga,kuwasiliana..na..wadeni,wako..kuwa..utawapa..mapema,mwa..mwaka..ama..hutowapa..kabisa
wakati,huo..unajiandaa,kwenda..mahakamani.
usikate..tamaa.
 
When you are in a hole, stop digging. Acha kukopa na "pambana na hali yako" kivingine.
 
Zingizia umekufa uku ukifanya michakato ya kuhama apo ulipo
Japo marehem hudaiwa ila n Mara chache saaana...kuna mchz apa mtaan kwetu alifanikiwa
 
Back
Top Bottom