Msaada,nina mtoto mmoja ila kwa sasa kila nikishika ujauzito unatoka.

Msaada,nina mtoto mmoja ila kwa sasa kila nikishika ujauzito unatoka.

Ningeweza kumpa uzazi wangu ningempa sasa km hiyo bed rest inataka moyo sio kazi ndogi na nyingine ni km member flani kasema kuna jamaa yake mkeww kubeba mimba tu hawakuendelea kufanya tendo la ndoa mpk kujifungua

Habari km hizo zinaniumizaga sana lkn ndo hivyo Sina jinsi
Oooh ok ....nimekupata vyema!
 
Back
Top Bottom