malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Wakuu habari zenu,
Kama nimevyoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo niliyoandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Kama nimevyoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo niliyoandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?