Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kimo?75kg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimo?75kg
Una hatari kubwa ya kupata stroke
164cmKimo?
Kwa Umri wako hatutegemei uwe na Pressure.Wakuu habari zenu
Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Pia hizo kilo ni nyingi kwa urefu huo.164cm
Jamaani ni Overweight.Pia hizo kilo ni nyingi kwa urefu huo.
Yeah nikweli nikilo nyingi natakiwa niwe nakilo60 kushuka chiniPia hizo kilo ni nyingi kwa urefu huo.
Mkuu kwa presha hii inafaa mim kuanza mazoezi yakukimbia napresha isiniletee shida wakati wakukimbiaKwa Umri wako hatutegemei uwe na Pressure.
Na kama umepima mara moja tu ukakuta iko juu unatakiwa urudie walau mara tatu kwa nyakati tofauti, hatuwezi jua ulipopima labda ulikua kwenye Panic/Fear...
Zingatia nilokueleza hilo swala lako naona halina maana yoyote.Mkuu kwa presha hii inafaa mim kuanza mazoezi yakukimbia napresha isiniletee shida wakati wakukimbia
Nimeeelewa vizur Kama natakiwa kupima Mara mbili kwa siku kwa nyanyakati fouti kwa siku tofauti pia nichek figo.. kwenye kupima nimepima leo presha Mara mbili sehem tofaut ikawa hivo pia nkaja jipima Mara ya tatu ktk mashine yngu ikawa hivo hivoZingatia nilokueleza hilo swala lako naona halina maana yoyote.
Labda kama haujaelewa popote kwenye maelezo yangu!
Hypertension is a Silent Killer.Wakuu habari zenu
Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Vp mazoezi kwahii presha nikiyaanza Itakua shida? Je presha itapanda Zaid pindi nikiwa nafanya mazoezi?Hypertension is a Silent Killer.
TENA MSHUKURU MUNGU SANA KWA MAONO ALOKUPA UKAPME.
Kama umepimwa mara 2 -4 nyakati tofauti na Ukaona BP yako iko Juu. Basi wewe ni Mgonjwa wa BP...
Waafrika tunarogana sana, jikabidhi kwa Mungu akupe ulinzi wake na akuondolee hiyo mijigonjwa isiyoambikizwaWakuu habari zenu
Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Swali la msingi ila kila mtu analikwepa,Vp mazoezi kwahii presha nikiyaanza Itakua shida? Je presha itapanda Zaid pindi nikiwa nafanya mazoezi?
Wakuu habari zenu
Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Hapana ,mazoez ni mazuri ,husaidia kushusha presha..mazoez kama kukimbia, kutembea, kuruka kamba ,husaidia kushusha presha .Vp mazoezi kwahii presha nikiyaanza Itakua shida? Je presha itapanda Zaid pindi nikiwa nafanya mazoezi?