Msaada: Nina tatizo la kutoa manii (ku-ejaculate) kila nipatwapo na hofu

wengine wakiwa na hofu wanajikojolea (mkojo) ila wewe umeamua kuja kivingine!! Pole sana mkuu kwa tatizo lililo kukumba
 
Hio hali ni kawaida kwa mtu aliye timamu kiafya.

Endelea kujitunza hadi utakapoingia kwenye ndoa. Kamwe usijaribu kujichua. Fanya mazoezi ya mwili na usiache kufanya ibada. Hakikisha akili zako zinakuwa bize mbali na mambo yote yahusuyo ngono.
 
Hayo mambo ya kawaida,akaoe ttzo litaisha kaabisaa
 
Swali la kizushi mkuu.. huko kupizi kuna kua kumeambatana na climax au ni out of the blue tuuu unashangaa pwaaaaah?
nimesem sijawai fany mapenz so kuhus climax sielew unamaan gan ,, ebu nielezee labd nawz kukujib vzur
 
Asant mlabata kwa ushaur,,lkn kwa sas sual la kupiz kweny mtihan lishaish ttzo lililopo kubwa kwa sas ni ndoto,, yani nikiota ndoto mbaya tu lazima mamb yajipe
 
nimesem sijawai fany mapenz so kuhus climax sielew unamaan gan ,, ebu nielezee labd nawz kukujib vzur
Ok hujawahi kufanya mapenzi na hujawahi kupiga punyeto but bila shaka wet dreams umepata pata kipindi una balehe... mm nauliza kale ka utamu kale kakujoa? huwa unakifeel kwa hayo mabao yako ya hofu?? Hope umenipata uzuri mkuu
 
Hapan mkuu sio tatzo chips funga,, kwanz sinaga mazoea kabsa na vitu km chips zangu ugali na dagaa tu mkuu!!!
 
Ok hujawahi kufanya mapenzi na hujawahi kupiga punyeto but bila shaka wet dreams umepata pata kipindi una balehe... mm nauliza kale ka utamu kale kakujoa? huwa unakifeel kwa hayo mabao yako ya hofu?? Hope umenipata uzuri mkuu
Yaap, huwa inatokea ivo
 
Hapan mkuu sio tatzo chips funga,, kwanz sinaga mazoea kabsa na vitu km chips zangu ugali na dagaa tu mkuu!!!
Apiaa Kama hujui utamuu wa kupiizi na Kama hujuii nan kakwambiaa Kama kutoa manii ndo kupizii??
 
Sijakuelewa mahali.

Kwa hiyo wakati wanaUKAWA wanatoka una-feel na ule msisimko/utamu au manii inatoka tu kama kamasi vile?
 
Yaap, huwa inatokea ivo
Sasa kwani we unapoteza nn wakati na utamu nao unapata... embrace tatizo lako mkuu wengine utamu huo wanaulipia 50 kwa bao moja, wengine mche wa sabuni!! Tulia jipatie utamu
 
Aisee pole sana mkuu but naomba nikutoe woga kitaalam hyo tunaita PHOBIA ila kwa zaid tafuta Psychologist wa karibu akusaidie.
 
Pole sana maana bora hivyo kuliko ungekua unatoa kinyesi
 
kichupa kimejaa mkuu mpaka kinajitapisha si mchezo
 
Apiaa Kama hujui utamuu wa kupiizi na Kama hujuii nan kakwambiaa Kama kutoa manii ndo kupizii??
Hahahaa,, nimesoma mkuu so nafahamu vyote isipokua ku practice tuu!!!
 
ilinitokea mara mbili mara ya kwanza nikiwa nafanya mtihan wa geo wa necta form four na ikajirudia nilikuwa nafanya chemistry necta form six mara nying huja ukiwa na hofu fulan mfano mm nilikosea swal na mda ukibak kama dk 15 hv .ila baada ya kuejaculate inakuja akil na speed ya ajabu ya kufanya pepa na kumaliza na kufanya vzr sabb unapata reasoning moja kubwa sanaa
 
Aisee pole sana mkuu but naomba nikutoe woga kitaalam hyo tunaita PHOBIA ila kwa zaid tafuta Psychologist wa karibu akusaidie.
Sory mkuu cjakuelew umesem unitoe woga so hili ttzo ni la kawaida?
 
Nakumbuka nilivokuwa A level kuna mdada alisahau waleti yake darasan me nikaichukua na kupekua nikakuta efu 30 mwili ulisisimka had nikamwaga wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…