last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Ulijuaje?hahahah polee sanaa mkuu umenikumbushaa form four Nectar ....kwenye prac ya chemistry kuna jamaa alitoaga manii
Kimberlite naona umefurahiiii....Swali la kizushi mkuu.. huko kupizi kuna kua kumeambatana na climax au ni out of the blue tuuu unashangaa pwaaaaah?
Pole sana kijana,ila usiwaze kwani ni suala la kawaida.Wasalaam wanabodi!!!
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, ndugu yenu nina tatizo la kujipizia hasa nikiwa na hofu kubwa. Hii hali ilinianza nikiwa kidato cha nne.
Nakumbuka nilikua nafanya mtihani muda ukaisha, mwalimu akaja kukusanya mitihani na jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu halafu sijamaliza kwa hofu niliyokuwa nayo nikajikuta najipizia nikiwa nimkaa kwenye kiti.
Tangu kipind kile nilijitahidi sana hali hiyo isinitokee tena, bahati nzuri niliweza kujizuia but hali ilkuja tena kujirudia nikiwa form five lakini nilijitahidi sana siku hiyo sikupizi pia nilikuwa kwenye mtihani.
Sasa kinachonipa shida ni kuwa kwa sasa nikiwa nimelala nikiota ndoto mbaya lazima nijipizie(ni-ejaculate) na hii inanitokea mara kwa mara kwa wiki inaweza tokea hata mara 3.
Kwa kifupi ni kuwa sijawahi kupiga punyeto so sijui hata inavofanywa, pia sijawahi kufanya mapenzi na msichana hata mara moja, umri wangu ni miaka 22 kwa sasa.
Hapa najiuliza je hili tatizo ni kutokana na kutokufanya mapenzi ndio maana kitu kama hiki kinanitokea au ni psychological problem!??
Msaada ndugu zangu sina amani kabisa najihisi kama siko sawa kabsa!!!
Nashukur sana mkuu,, nitajitaid kufata ushaur , hopeful litaish kwangu piaaPole sana kijana,ila usiwaze kwani ni suala la kawaida.
Nakumbuka nikiwa kidato cha tatu na cha nne katika mitihani ya mock,mazila kama haya yalinikuta.
Kwa matukio yote nilikuwa nikifanya mtihani wa basic mathematics na msimamizi alipokuwa akitangaza kwamba mda upo chini ya dakika tano nilijikuta na ejaculate.
Kiukweli feelings zinazokuwepo katika uume inakuwa kama unasex,sema tu mawazo ya mtihani ndo yana interfere.
Kabla ya mtihani wa kuhitimu kidato cha NNE,nilimtafuta Mwalimu wa kiume (alinifundisha biology) na kumuelezea kuhusu uhanga wangu.Mwalimu alinishauri zaidi juu ya kurelax na kupanga maswali ya kufanya katika mtihani ili nisijikute mwisho wa mtihani Nina mambo mengi.
Vile vile jitahidi kuvaa nguo ya ndani inayobana vizuri nyeti (japokuwa hii badae nilihisi ni psychological treatment).
Ni hivyo tu mkuu
Nilikua nawaza kwa sauti tu mkuu... kama unapata itamu kwanini liwe ni tatizo hiloKimberlite naona umefurahiiii....
Ukipizi, ukikojoa ndio climax yenyewe mkuu
inabidi ufanye ivo kijana. wew hadi miaka 22 hujuwi utamu ukoje? hakuna kitu kitam Kama k****ma. nausipo fanya navo kwambia utakua muaga sana na madem.Mmmh,,, huu ushauri c mchezo, so ni bora tu nianze kugegedan co!!
Utamu pasipostahili utamu kimberlite , ni fedheha. Hebu jifikirie unapata utamu ukiwa katikati ya soko ama kadamnasi ya watuNilikua nawaza kwa sauti tu mkuu... kama unapata itamu kwanini liwe ni tatizo hilo
Hahahsaa,,kumb tamu eeh,, ila mkuu farudume unanifundsh tabia mbaya nishakuon wakt mm nilikatazwa na mama nisifany mpk nikiw mkubwa(joking)inabidi ufanye ivo kijana. wew hadi miaka 22 hujuwi utamu ukoje? hakuna kitu kitam Kama k****ma. nausipo fanya navo kwambia utakua muaga sana na madem.