Wakuu, ninahitaji RAV4, kutoka Japan au hata katika Show rooms za hapa Tanzania.
Bajeti yangu ni Tsh 15m, je ninaweza kupata RAV4 ya aina yoyote ile? Iwe old au new model.
Pia naomba ushauri hata kama ni wa kunibadili mawazo kutoka RAV4 kwenda ktk gari nyingine yoyote.
Karibuni
Bajeti yangu ni Tsh 15m, je ninaweza kupata RAV4 ya aina yoyote ile? Iwe old au new model.
Pia naomba ushauri hata kama ni wa kunibadili mawazo kutoka RAV4 kwenda ktk gari nyingine yoyote.
Karibuni