Msaada: Nina Tsh 15m, ninaweza kupata RAV4?

Msaada: Nina Tsh 15m, ninaweza kupata RAV4?

Ukipenda njoo nikuagizie kutoka japan ambayo ipo kwenye condution nzuri
 
Nissan xtrail utasumbuka bure usinunue' labda niulize unataka gari kwa matumizi yapi? Upo shamba au kwa ajili ya mizunguko ya town tu
 
Ukipita kwenye website za Japan (mfano sbtjapan.com) utapata RAV4 nzuri sana tu kwa US$ 3,000- US$ 3,500 bei ya kuifikisha mpaka Dar. Kodi yake maximum itacheza kwenye bei sawa na hiyo uliyonunulia.

Epuka madalali hewa usijejuta baadae
 
Wakuu, ninahitaji RAV4, kutoka Japan au hata katika Show rooms za hapa Tanzania.

Bajeti yangu ni Tsh 15m, je ninaweza kupata RAV4 ya aina yoyote ile? Iwe old au new model.

Pia naomba ushauri hata kama ni wa kunibadili mawazo kutoka RAV4 kwenda ktk gari nyingine yoyote.

Karibuni
Uwe makini za kuagiza ukiona ina bei ya chini kama $3,000 hadi $3,500 inaweza ikawa mbovu na ukifika hapa lazima utatumia zaidi ya pesa hizo kwa matengenezo. Gari kama RAV4 ya Japan ya mwaka 2003 above uwe na $ 6000 na kuendelea CIF Dar. Mimi nimeuza yangu TZS 11 m najuta... natakuwa niwe na kiasi cha atleast 23 m including taxes
 
kikaniki hebu jaribu kuingia Zoom Tanzania tumia link hii SUV & 4WD for Sale | ZoomTanzania
hapo utakutana na muuzaji direct na bei mtapatana
kama ni mgeni zaidi mtafute fundi kabla ya kununua lakini gari zipo tena kwa bei ya chini ya hela uliyonayo.
Ila km ukishindwa nenda yard ya Be Forward Ocean rd (Barrack Obama) kwa macho kapatane
lkn humu member anakuambia yeye ndio akuagizie sita kwanza mpaka ushindwe hatua hii niliyokupa
 
kikaniki hebu jaribu kuingia Zoom Tanzania tumia link hii SUV & 4WD for Sale | ZoomTanzania
hapo utakutana na muuzaji direct na bei mtapatana
kama ni mgeni zaidi mtafute fundi kabla ya kununua lakini gari zipo tena kwa bei ya chini ya hela uliyonayo.
Ila km ukishindwa nenda yard ya Be Forward Ocean rd (Barrack Obama) kwa macho kapatane
lkn humu member anakuambia yeye ndio akuagizie sita kwanza mpaka ushindwe hatua hii niliyokupa
Asante sana ndugu yangu
 
boraa tafta voltz ni nzuri kwa mafuta rav 4 zinakula mafuta saana may be upate ya cc 1700 ila rav 4 ya mwaka 98 ni ngum saana na ni nzuri ila cc yake ni 1900. tafta tafta Voltz mkuu
 
boraa tafta voltz ni nzuri kwa mafuta rav 4 zinakula mafuta saana may be upate ya cc 1700 ila rav 4 ya mwaka 98 ni ngum saana na ni nzuri ila cc yake ni 1900. tafta tafta Voltz mkuu
 
boraa tafta voltz ni nzuri kwa mafuta rav 4 zinakula mafuta saana may be upate ya cc 1700 ila rav 4 ya mwaka 98 ni ngum saana na ni nzuri ila cc yake ni 1900. tafta tafta Voltz mkuu
 
boraa tafta voltz ni nzuri kwa mafuta rav 4 zinakula mafuta saana may be upate ya cc 1700 ila rav 4 ya mwaka 98 ni ngum saana na ni nzuri ila cc yake ni 1900. tafta tafta Voltz mkuu
Hata mimi hiki kigari nimetokea kukipenda sana,hasa shape yake ingawa sijajua uimara wake.
 
Kabla hujafanya maamuzi ya kununua gari tafakari yafuatayo..
1. Unaishi wapi Mjini au Kijijini
Na miundombinu ya usafiri ipoje..
2. Umbali kutoka Nyumbani hadi kwenye shughuli zako ni Kilometre Ngapi...!?
3.Unapenda kusafiri mikoani na gari lako...!?
4. Kipato chako kipoje..
Chajuu juukati kati au chini..!?
Mengine uongezea...!
 
Wakuu, ninahitaji RAV4, kutoka Japan au hata katika Show rooms za hapa Tanzania.

Bajeti yangu ni Tsh 15m, je ninaweza kupata RAV4 ya aina yoyote ile? Iwe old au new model.

Pia naomba ushauri hata kama ni wa kunibadili mawazo kutoka RAV4 kwenda ktk gari nyingine yoyote.

Karibuni
Mkuu ulifanikiwa?
 
Usikariri kariri, RAV4 siyo gari zuri kabisa kwenye mafuta. Kwa hela yako hiyo hiyo unaweza pata gari zuri linalotumia mafuta kidogo na space ya kutosha. Fanya utafiti kwanza. Wenye RAV4 wengi wanajuta ila hawana jinsi.
Sasa si ungemtajia japo hizo aina zingine
 
Usikariri kariri, RAV4 siyo gari zuri kabisa kwenye mafuta. Kwa hela yako hiyo hiyo unaweza pata gari zuri linalotumia mafuta kidogo na space ya kutosha. Fanya utafiti kwanza. Wenye RAV4 wengi wanajuta ila hawana jinsi.
Zipi rav 4.zina injini ya 1ZZ (cc 1760),ziko vizuri kwenye ulaji wa mafuta, otherwise unaongelea group la vits ya cc 990
 
boraa tafta voltz ni nzuri kwa mafuta rav 4 zinakula mafuta saana may be upate ya cc 1700 ila rav 4 ya mwaka 98 ni ngum saana na ni nzuri ila cc yake ni 1900. tafta tafta Voltz mkuu
voltz production yake si iliisha 2004?...ndio maana hamna model ya mbele yake..ninachojiuliza..spare zinapatikana..?nlishawahi kutaka nunua sema sjapata hayo majibu?
 
Back
Top Bottom