Mr.laravel
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 471
- 513
Nzuri sana sema zipo chini sana.Hata mimi hiki kigari nimetokea kukipenda sana,hasa shape yake ingawa sijajua uimara wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri sana sema zipo chini sana.Hata mimi hiki kigari nimetokea kukipenda sana,hasa shape yake ingawa sijajua uimara wake.
ila spare zake zipo kibao saana kakavoltz production yake si iliisha 2004?...ndio maana hamna model ya mbele yake..ninachojiuliza..spare zinapatikana..?nlishawahi kutaka nunua sema sjapata hayo majibu?
Usikariri kariri, RAV4 siyo gari zuri kabisa kwenye mafuta. Kwa hela yako hiyo hiyo unaweza pata gari zuri linalotumia mafuta kidogo na space ya kutosha. Fanya utafiti kwanza. Wenye RAV4 wengi wanajuta ila hawana jinsi.
Usikariri kariri, RAV4 siyo gari zuri kabisa kwenye mafuta. Kwa hela yako hiyo hiyo unaweza pata gari zuri linalotumia mafuta kidogo na space ya kutosha. Fanya utafiti kwanza. Wenye RAV4 wengi wanajuta ila hawana jinsi.
Usimdanganye, milango 3 anapata toka Japan na chenji inarudi.Hawezi pata RAV4 toka japan kwa bei hiyo. Ushuru kwa sasa ni balaa. Mikononi mwa watu unapata show room ongeza kidogo kwa milango 3 lakini. Milango 5 ni 18 hadi 38m