RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Nenda real hospital na umuone real doctor
Kwa mm huwa naziamini sana hospital za serikal ebu nenda uko ukacheki vzr
Kwa mm huwa naziamini sana hospital za serikal ebu nenda uko ukacheki vzr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri:- nenda hospital kakutane na specialist wa ENT. kama uvimbe una zaidi ya wiki 2 basi unahitak uchunguzi mapema kujua n saratan ama n uvimbe wa kawaida.Habari Wana JF, Naomba Ushauri
Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.
Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.
Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.
Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:
1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone
Naomba ushauri wenu juu ya hili.
lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale
naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.
sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten
Mpuuzi wewe - humu sio Hospital aende akapime .afya ya mtu aipigiwi ramli aende akapime full stop. Usimpe faraja aende akapimeUnaongea upuuzi mtupu, unazijua sifa za malignant tumor? Usipende kuelezea ishu zinazohusu afya ya maisha ya mtu kama wewe sio tabibu. Unakuja kumwingiza mtu ktk hofu ambayo inaweza ikaja kumpoteza kuliko tatizo halisi alilokuwa nalo.
Basi asipime kansa apime pepopundaWaswahili bhana unatamani mzala awe na Kansa aisee...yaani uvimbe kidogo tu kansa hiyo watu wote wangekua na Kansa basi..
We jamaa jaribu kujielimisha kidogo aisee, nini uvimbe kansa inaweza kuanza kama kijiupele tu au chunusi. Uvimbe wowote usiuchukulie kawaida tu. Elimika broWaswahili bhana unatamani mzala awe na Kansa aisee...yaani uvimbe kidogo tu kansa hiyo watu wote wangekua na Kansa basi..
Sidhani kama nahitaji kuelimishwa na wewe Mkuu..sidhaniWe jamaa jaribu kujielimisha kidogo aisee, nini uvimbe kansa inaweza kuanza kama kijiupele tu au chunusi. Uvimbe wowote usiuchukulie kawaida tu. Elimika bro
Sijasema nikuelimishe nmekwambia jielimisheSidhani kama nahitaji kuelimishwa na wewe Mkuu..sidhani
Elimu niliyopata inatosha Mkuu wacha nipambane kuleta magari mazuri tu sasa hivi kutoka huku SA...Sijasema nikuelimishe nmekwambia jielimishe