KIBARAone
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 642
- 243
Utangulizi
Upotevu na uharibifu wa rasilimari za nchi ni mkubwa sana kiasi kwamba wachina wamefikia hatua ya kutorosha hadi kobe kupeleka kwao. Kwa ufupi ni kwamba biashara za magendo juu ya rasilimali za nchi ni mkubwa sana.
Hapo awali hawa jamaa kazi yao ilikuwa tu kuidhibiti chadema isiweze kuharibu Uhai wa chama tawala lakini leo hii Rais mteule anaibua madudu mengi sana ili hali TISS wapo.
Kwa ufupi binafsi TISS nao ni JIPU linahitaji kutumbuliwa.
Upotevu na uharibifu wa rasilimari za nchi ni mkubwa sana kiasi kwamba wachina wamefikia hatua ya kutorosha hadi kobe kupeleka kwao. Kwa ufupi ni kwamba biashara za magendo juu ya rasilimali za nchi ni mkubwa sana.
Hapo awali hawa jamaa kazi yao ilikuwa tu kuidhibiti chadema isiweze kuharibu Uhai wa chama tawala lakini leo hii Rais mteule anaibua madudu mengi sana ili hali TISS wapo.
Kwa ufupi binafsi TISS nao ni JIPU linahitaji kutumbuliwa.