Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi kuitumia au unasikiliza maneno ya mitandaokabla hamjanunua magari muwe mnapitia nyuzi za magari zipo humu. xtrail sio gari. pole mkuu.
Na mm niliosha engineKuna jamaa katika kuoshwa, engine iliingia maji ndio tatizo kama hilo likaanza
Boda boda wa JF watakuja kuharibu huu uzi, hawa watu akili zao ni Mabisi, Subiri wapaki.
Wanadhani kila mtu mpiga kiki.
Hahaaaaa, gari zuri sana hilo. Ninalo lina miaka dahali karibia nimuachie mwanangu aliendeshe. Hiko ni chuma cha mjeremani mkuu au mninga huo.Umeshawahi kuitumia au unasikiliza maneno ya mitandao
Ohoooo, Hembu ngoja nimuulize ali fix vipi.Na mm niliosha engine
Ok utakua umenisaidiaOhoooo, Hembu ngoja nimuulize ali fix vipi.
acha mama atuheshimisheTulishindwa kuheshimiana
Hamna gari hapo kuanzia engine mpaka Bodi. Uza mapema kabla halijakudodea
Niko DarHiyo gari ni nzuri sana, ila ikikosa fundi mzuri ni sawa na mume mwenye mke malaya aliyelala na Kaka yake, ina stress sana:
1. Usiamini fundi kubadili kitu.
2. Ukiona inasumbua sana tulia.
3. Tafuta mtu mwenye similar.
Uko mkoa gani?
Xtrail ni bonge ya gari ikizingua haihitaji kanjanja ukileta ujanja ujanja umeharibu ila kwa kusema sio gari haya gari kwako ni ipi sasa maana hata lx inazingua na hautaitamani ikisumbuakabla hamjanunua magari muwe mnapitia nyuzi za magari zipo humu. xtrail sio gari. pole mkuu.
Nilikuwa na tatizo kama lako, japo mimi ilikuwa ikizima haiwashi taa yeyote na ilikuwa ikizima inaweza iwake hapohapo au ikusumbue lakini inawaka.Wakuu poleni na majukumu,
Naomba msaada wenu Gar yangu imekua na Tatizo la kuzima ninapokua naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapo jizima tena.
Kwahiyo nilikua naomba kwa mwenye uelewa anisaidie mana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua
Ili ugundue Nini?Na mm niliosha engine
Niko Dar
Issue ya kujizima Xtrail ishaongelewa sana humukabla hamjanunua magari muwe mnapitia nyuzi za magari zipo humu. xtrail sio gari. pole mkuu.
Uliosha engine kwa Maji au? Mi pale huwa wanapuliza tu kwa upepo kuondoa vumbi.Na mm niliosha engine
Ngoja nimuunganishe na Mbossa garage wa hapa Iringa. Fundi mzuri sana wa hizo gari hapa Iringa Mkuu.Dar kuna mafundi wengi sana waongo, hasa Ilala yote hakufai, ila huwezi kosa mtalaam wa X-Trail Dar, do your homework, ila ujue hakuna fundi Dar es salaam ambaye atakwambia siwezi, anataka achukue hela aende zake.
N A K A Z I A [emoji419][emoji375]hakuna fundi Dar es salaam ambaye atakwambia siwezi, anataka achukue hela aende zake.
Ngoja nimuunganishe na Mbossa garage wa hapa Iringa. Fundi mzuri sana wa hizo gari hapa Iringa Mkuu.
Sasa mm nipo Dar uniunganishe na fund iringaMuunganishe anaweza mshauri hata kwa simu tu, huwezi jua. Unaweza chukia aina fulani ya Magari sababu ya mafundi washenzy.