Hatareee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani siku za hatari kwa mkewe ni siku akimfumania kwamba ana mchepuko pembeni! Itakuwa hatari si kwake tu bali hata kwa mchepuko na mazingira walimokutwa kwa ujumla!
Ndo km hvo mkuu ashiki inakuwa on climaxKuongezeka hamu ya kufanya mapenzi ujue kitu na box on fleek
Asante mkuu...Ndo km hvo mkuu ashiki inakuwa on climax
Kuanzia siku ya 11 mpaka ya 18 ni danger days kwakoSky Eclat nisaidie hapa kidogo iyo post ni kama mimi tarehe zinavurugika je, kwa umakini ata tarehe zikivurugika cha msingi ile navyoanza si ndio iwe tarehe 1 kwangu so naanza kuhesabu kuanzia apo hadi siku 14. sasa apo tarehe za hatar zinakuwa siku ngapi???
Kuanzia siku ya kwanza unapoanza periodKwa mzunguko wa siku ngapi?
uwezi kwa kua kuna mwezi mkubwa na mdogo, vyakula, haliya hewa, mstuko nazo zinabadiliHivi haiwezekani mwanamke kuangukia katika tarehe moja kila mwezi?, mfano anaingia kila tarehe 10 ya kila mwezi , afu ukisoma kwenye mitandao wanakwambia katika siku yake ile ya hatari unaadd siku tatu mbele na siku tatu nyuma, kuna ukweli?
mbaya kivipi, ni famishe mkuu hata mimi na taka mkee wangu atumie hio kituMbaya sana iyo mkuu
Inamaana ana irregular circle kwahiyo unahesabu kuanzia siku anayoanzaKwa mzunguko wa siku ngapi?
Cheki pm nimekujibu mkuuAsante mkuu...
Kuna swali hapo nauliza hivi PEP ndo P2?
Je hivyo vidonge vina madhara gani na utumie mara ngapi atleast kwa mwaka usidhurike?
Thanx mkuuCheki pm nimekujibu mkuu
hii hasa ni kwa mzunguko wa 28 days lakini kama ni irregular unaanza kuhesabu kuanzia ile siku ya kwanza.Haijalishi ni mzunguko wa 25,28,35 wala 42?
ndio ata mimi najua ivyo hii inasaidia kwa kua kuna mabadiliko mala kwa mara cha msingi aanze kuhesabu 1 pale anapoanza kuona ukifuata tarehe ndio hapoo inakuwa shida maana hii hata mimi hunitokeaHaijalishi ni mzunguko wa 25,28,35 wala 42?
Thanks sana mkuu, manake wewe na sky eclat ndo mmenipa majibu sahihi, hakika mmenifungua sana, mimi nilikuwa najua hadi leo tunahesabu siku za hatari kutokana na mzunguko wake.ndio ata mimi najua ivyo hii inasaidia kwa kua kuna mabadiliko mala kwa mara cha msingi aanze kuhesabu 1 pale anapoanza kuona ukifuata tarehe ndio hapoo inakuwa shida maana hii hata mimi hunitokea