Niko serious ni kazi nzito sanahaaha mkuu ur not serious aiseee.....
sasa mkuu huoni kwenye suala zima la kujifungua upo na assistance za hormone kadhaa na kadhaa ambazo zinarahisisha shughuli nzima🙂🙂Niko serious ni kazi nzito sana
sawa nakuja PM tusichitchat hapa [emoji56] [emoji56] [emoji56]Kila mwezi mkuu unatakiwa ujue redcarpet yangu ni lini tu
Sio rahisi mkuu ukumbuke Hii tulipewa km adhabu baada ya kuasi kwny bustan ya eden, very complicated kuna wanaoiacha dunia na maraha yake ajili ya uzazi, halafu ww unaniambia unipige mimba nizae usepe huyo mtt analelewaje sasa??sasa mkuu huoni kwenye suala zima la kujifungua upo na assistance za hormone kadhaa na kadhaa ambazo zinarahisisha shughuli nzima🙂🙂
Nimeipenda kauli yako, nimeireview na mahanjamu mahanjumati ambayo huwa nasema na kusemesha wakati wa Kuto.mbanaVwipi???
Yaani wewe Mh haya bhana afadhali lkn km nimekukumbusha mahanjamu na mahanjumati wakati wa kuhondomolana [emoji12]Nimeipenda kauli yako, nimeireview na mahanjamu mahanjumati ambayo huwa nasema na kusemesha wakati wa Kuto.mbana
Oukeisawa nakuja PM tusichitchat hapa [emoji56] [emoji56] [emoji56]
HakikaYaani wewe Mh haya bhana afadhali lkn km nimekukumbusha mahanjamu na mahanjumati wakati wa kuhondomolana [emoji12]
Sasa kwa siku hizi za hivi karibuni, ambazo ni randomly tutahesabu vipi mkuu siku za hatari?Mkuu kama nimekunote vizuri umesema siku za hivi Karibuni ndo siku zimefurugika it means hapo Mwanzo alikuwa na mzunguko wa kawaida. Kama hivyo ndivyo basi itakuwa ni kutokana na sababu nilizokutajia hapo ila akibalance hivyo vitu basi na siku zake zitarejea kama kawaida.
Achunguze viashira vingine mkku.Sasa kwa siku hizi za hivi karibuni, ambazo ni randomly tutahesabu vipi mkuu siku za hatari?
Kwani heading ya "SIKU ZA HATARI" ilikua na shida gani jamaa wajaichenji? Hatari sana? [emoji40][emoji40][emoji125][emoji125][emoji125]Mods sijawaomba mnibadilishie title ila mmenibadilishia, mkiombwa mbadilishe title huwa hamkubali.
Hii ndio sahihi kabisa. Jua mzunguko wake kwanza ndio utaweza kuhesabu ama kutumia kalenda.Tena huyo ndio kakupoteza zaidi kila mwanamke ana mzunguko wake
Ovulation hutendeka ndani ya saa 48
Na shawaha zina uwezo wa kudumu ukeni hadi siku 5
Huwezi kujua siku za hatari za mwanamke bila kufahamu mzunguko wake ni wa siku ngapi View attachment 592796
Mpeleke Madale halafu shetani atokee, utapata majibu.