Kama danger days zinasumbua, ukiwa gegedoni,wazungu weupe wakikaribia kutoa withdraw! Tupia manii nje ya goal
PEP? Hivi bidonge havina shida?
Na ni uhakika ukimeza be4 72 hrs after sex hupati kibendi?
Tango hiliToka siku anamaliza ahesabu siku 10 mbele,hapo chezeni kadri muwezavyo..but kuanzia ya 11 tumieni condom au vita subira. Then aweke rekodi,anaweza download app calendar kama ulivyoambiwa post za nyuma. Lakini ni vizuri aanze kuanzika kwa mkoono somewhere baada ya miezi fulani ahesabu distance ya tar kati ya mwenzi mmoja na uliofuata na unaofuata,hapo atajua siku zake zinarudi nyuma kwa siku ngapi. Mfano mimi kama mara ya mwisho tar 18 basi siku 5 nyuma na siku ya sita naingia kazini,mwezi utakaofuata.
Mie three to four weeks, huku unavuja damu, maziwa na mtoto anakojoa ni full udobi na kuchoka aisee uzazi sitaki hata kuusikia
Yaani hizi siku nataka sana ishu mkuu nikikosa huwa nahisi kupandwa ukichaa seriously ni balaa
weeeee hii njia dk aliniambia mara nying huwa inafail !naskia kuna visperms huwa vinashoot kabla ya kukojoa men ! mie imenifanya nikawa na mapacha wa nje kwa njia hizi !mwee
Ngumu sana hiyo mkuu
Yeeeee... MBITIYAZA, kwa lugha yangu yakisukuma ni Fisi Mwekundu.... Tatzo hua mnakosea step, ukihisi wazungu washapiga hodi faster chomoa dushe,limimine Risasi zake nje ya goal, tatzo lenu mnasubiri hadi zile mbegu za kwanza zenye kihere kihere,ambazo hua zinawashwa washwa kutoka mapema kwenye pipe zinakua zishadrop, hapo ndo shida hua inaanza sasa,..... Hii formular hua naitumia sana pindi nisikiapo LEO DANGER,hadi leo hatujawahi pata mtoto ambaye hatujapanga nakujiandaa
Masaa 72 kabla ya siku za hatari?, kama huyu wa kwangu siku zimekuwa randomly hivi sijui atamezaje wakati siku za hatari hazieleweki?
ohh nadhan hii ni kwa wanaume sasa !maama mie sijui hizo za kwanza huwa zinakualert namna gan !asante kwa maoni
kakudanganya nani?usipoteze muda wako kumwamini mwanamkeHajawahi tumia Dawa yoyote
umeoa lini hiyo muke yakoSatute,
Niende moja kwa moja kwenye mantiki, mke wangu ziku zake za hedhi zimetokea kuvurugika tu, hivo napata mtihani mkubwa sana kujua siku zake za hatari.
Ziku zake za hedhi kwa miezi ya karibuni iko hivi, mwezi wa 5 aliingia tarehe 20, mwezi wa 6 aliingia tarehe 10, mwezi wa 7 aliingia tarehe 10, mwezi wa 8 aliingia tarehe 5 na mwezi wa 9 kaingia tarehe 18.
Kiukweli imeniacha njia panda kubwa sana za kuweza kutambua siku za kuweza kupata mimba kwa kipindi cha nyuma alikuwa akiingia kila tarehe 10 ya kila mwezi wakuu kwa mabadiliko hayo nitahesabu vipi siku zake za hatari?
Ushauri wenu tafadhali.
Nawasilisha
By
Young
Dimaa.
Jina lako nikutoka kanda ya ziwa?? Hasa Shinyanga,Geita, Simiyu au Mwanza?? Fisi Mwekundu a.k.a MBITIYAZA
mwizukulu jilalang'wanza