Habari!!
Nataka nianze biashara ya mchele toka Mbeya, naishi Dar Kimara. Research ndogo niloifanya wateja mahali nilipo wanataka mchele wa Mbeya, nitaanza kuuza rejareja kwanza.
Msaada, nitaupataje unifikie hapa nilipo na mchele ni super tu ndio ninaohitaji.
Asanteni.
Nataka nianze biashara ya mchele toka Mbeya, naishi Dar Kimara. Research ndogo niloifanya wateja mahali nilipo wanataka mchele wa Mbeya, nitaanza kuuza rejareja kwanza.
Msaada, nitaupataje unifikie hapa nilipo na mchele ni super tu ndio ninaohitaji.
Asanteni.