Msaada: Nitapataje mchele toka Mbeya?

Msaada: Nitapataje mchele toka Mbeya?

vanilagal

Member
Joined
Dec 6, 2014
Posts
37
Reaction score
10
Habari!!

Nataka nianze biashara ya mchele toka Mbeya, naishi Dar Kimara. Research ndogo niloifanya wateja mahali nilipo wanataka mchele wa Mbeya, nitaanza kuuza rejareja kwanza.

Msaada, nitaupataje unifikie hapa nilipo na mchele ni super tu ndio ninaohitaji.
Asanteni.
 
Habari!! Nataka nianze biashara ya mchele toka mbeya, naishi Dar kimara, research ndogo niloifanya wateja mahali nilipo wanataka mchele wa mbeya, nitaanza kuuza rejareja kwanza! ! Msaada ntaupataje unifikie hapa nilipo na mchele ni super tu ndio naohitaji.asanteni
Nitafute 0744939000
 
Nitafute 0766728326.

Kuna jamaa mwingine yupo goba nilimsaidia inshu hii hii
 
Habari!! Nataka nianze biashara ya mchele toka mbeya, naishi Dar kimara, research ndogo niloifanya wateja mahali nilipo wanataka mchele wa mbeya, nitaanza kuuza rejareja kwanza! ! Msaada ntaupataje unifikie hapa nilipo na mchele ni super tu ndio naohitaji.asanteni
Ndugu yangu usitarajie kuletewa mchele supa. wauzaji wengi wanachanganya mchele supa na vipi na ukiuangalia ni mzuri sana ila haunukii kama inavyostahili wala hauna ladha nzuri. Tabia inafanywa hata na wakulima wenyewe. Hivi unaweza kuamini kuwa kuna wakulima kyela ambao huagiza mchele toka kamsamba?? Kwa hiyo kuwa muangalifu sana na inabidi wewe mwenyewe usimamie kwenye manunuzi.
 
Habari!!

Nataka nianze biashara ya mchele toka Mbeya, naishi Dar Kimara. Research ndogo niloifanya wateja mahali nilipo wanataka mchele wa Mbeya, nitaanza kuuza rejareja kwanza.

Msaada, nitaupataje unifikie hapa nilipo na mchele ni super tu ndio ninaohitaji.
Asanteni.
ushauri wangu njoo mwenyewe mbeya ujumue ukiagiza utachanganyiwa na ambao siyo super.. mm nipo mbeya na Nina stoo ya kuhifadhi mpunga na jumua super kabisa then nauza kwa duka yangu
 
Kwa wanaouza mchele super wa Mbeya ..., jee naweza kupata kama tani 70 kwa mara moja ...? Na jee, bei hiyo ya jumla itakuwaje ...?
 
Kanunue mwenyewe uende na mtaalamu wa Mchele,vizuri nunua mpunga koboa mwenyewe
 
Biashara za Tanzania ni shida kwelikweli. Ndiyo maana hatuwezi kuendelea. Kwa hiyo kama mtu wa Marekani atapenda kununua mchele wa Kyela ni lazima atoke huko aliko mpaka Kyela?
 
Mliopo mbeya mchele super bei gan kwa debe sasahivi?
 
Ndugu yangu usitarajie kuletewa mchele supa. wauzaji wengi wanachanganya mchele supa na vipi na ukiuangalia ni mzuri sana ila haunukii kama inavyostahili wala hauna ladha nzuri. Tabia inafanywa hata na wakulima wenyewe. Hivi unaweza kuamini kuwa kuna wakulima kyela ambao huagiza mchele toka kamsamba?? Kwa hiyo kuwa muangalifu sana na inabidi wewe mwenyewe usimamie kwenye manunuzi.
Safiri mpaka mbeya laasivyo utapigwa utaletewa wa pawaga iringa wakwambie wa mbeya[emoji27]
 
Unahitaji kiasi gani?una cash au unataka Kwa mali kauli Kama wenzio wa Tandika. Ni pm
 
Back
Top Bottom