Si kweli, yaan ujenzi wa Gutter uwe sana na ujenzi wa nyumba mpaka lintel? NakataaNa hapa ndipo hoja kuu ilipo. Ujenzi wa nyumba hizi ukizingatia taratibu ni very expensive, Kwanza hata ile ya zege, inapaswa kuweka kwa ratio kali sana na vipimo maalum inayozuia hata tone moja la maji kupenya kwenye hiyo zege, sasa watu wanaweka zege ratio ya kawaida kisha wanapiga eti plasta ratio kali!! Hapo tu washafeli! Ujenzi wa lile gata la zege unaweza gharimu fedha sawa na gharama ya kuinua nyumba kutoka kwenye msingi hadi kwenye lenta kama likijengwa inavyotakiwa.
Hili gata la Contempo unalijua lakini? Linajengwa kwa zege na nondo na linaunganishwa kwa pamoja na lenta. Ni kama bawa flaniSi kweli, yaan ujenzi wa Gutter uwe sana na ujenzi wa nyumba mpaka lintel? Nakataa
Kama ilivyo Nissan DUALIS. Maumivu yameanza watu wameanza kuzipaki kwa aibu kubwaKama jina lake lilivo na neno Temporary naamini ni swala la muda tu, Vilio vitaanza watu wamevamia sana huo ujenzi wa namna hio
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Uko sawa boss [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hizo nyumba unapaua slope upande wa nyuma unaacha maji yanamwagika hutasikia ukivujiwa
Sio hizo "swimming pool" mnazopaua
Vipi ukuta kipindi hiki haulowi mpaka kutetemekaTatizo ni kwamba hatuna mafundi wabobezi wa ujenzi wa hizo nyumba, ndio maana zimegeuka kuwa janga especially upande wa roofing, ila ukipata fundi mtaalamu ni nyumba nzuri sana na hutajuta
Aweke turubali mvua zikiisha atafute fundi mzuri arekebishe.Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Poleni Usicheke, shida watu wengi wanapenda vitu Vizuri halafu wanatumia mafundi kanjanja . Kama utapenda kumsaidia nakupa namba YANGU call au what'sup +255716416599 mpe tutamsaidia .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama mazuri vile,aunt yangu kaezeka hivyo nyumba nzuri aisee ndani tunakinga maji majaba yanajaa,
Vyumba vyote vinavuja yaani sio kuvuja bali ni kumwagika maji,
Lkn now kaezeka kawaida.
hii kitu nilihuzunika nlipofika kwa brother.., bati alizotumia ni expensive alafu nyumba inavuja kama chujio ya nazi na kuta karibu zote zimelowana maji...
Duh aisee, wanasema fundi ndio wazinguaji
Wanalilia nini?Mambo ya kufata Mkumbo! Dodoma wanalia sana walojenga contemporary!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mtafute huyu fundi: Fundi wa Kuziba Bati linalovuja kwa SiliconeNilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.