Msaada: Nyumba ya contemporary inavuja

Msaada: Nyumba ya contemporary inavuja

Na hapa ndipo hoja kuu ilipo. Ujenzi wa nyumba hizi ukizingatia taratibu ni very expensive, Kwanza hata ile ya zege, inapaswa kuweka kwa ratio kali sana na vipimo maalum inayozuia hata tone moja la maji kupenya kwenye hiyo zege, sasa watu wanaweka zege ratio ya kawaida kisha wanapiga eti plasta ratio kali!! Hapo tu washafeli! Ujenzi wa lile gata la zege unaweza gharimu fedha sawa na gharama ya kuinua nyumba kutoka kwenye msingi hadi kwenye lenta kama likijengwa inavyotakiwa.
Si kweli, yaan ujenzi wa Gutter uwe sana na ujenzi wa nyumba mpaka lintel? Nakataa
 
Mbona hii haivuji?👇

IMG_20220116_105649_845.jpg
 
Mimi namaliza kabisa hyo shida kikubwa aweke pesa nyumba haitamsumbua tena call or WhatsApp 0757735884
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.

Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.

Afanyeje ili isivuje?

N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
 
Tatizo ni kwamba hatuna mafundi wabobezi wa ujenzi wa hizo nyumba, ndio maana zimegeuka kuwa janga especially upande wa roofing, ila ukipata fundi mtaalamu ni nyumba nzuri sana na hutajuta
Vipi ukuta kipindi hiki haulowi mpaka kutetemeka
 
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.

Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.

Afanyeje ili isivuje?

N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Aweke turubali mvua zikiisha atafute fundi mzuri arekebishe.

NB: Asisite kunitafuta
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama mazuri vile,aunt yangu kaezeka hivyo nyumba nzuri aisee ndani tunakinga maji majaba yanajaa,

Vyumba vyote vinavuja yaani sio kuvuja bali ni kumwagika maji,

Lkn now kaezeka kawaida.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama mazuri vile,aunt yangu kaezeka hivyo nyumba nzuri aisee ndani tunakinga maji majaba yanajaa,

Vyumba vyote vinavuja yaani sio kuvuja bali ni kumwagika maji,

Lkn now kaezeka kawaida.
Poleni Usicheke, shida watu wengi wanapenda vitu Vizuri halafu wanatumia mafundi kanjanja . Kama utapenda kumsaidia nakupa namba YANGU call au what'sup +255716416599 mpe tutamsaidia .
 
hii kitu nilihuzunika nlipofika kwa brother.., bati alizotumia ni expensive alafu nyumba inavuja kama chujio ya nazi na kuta karibu zote zimelowana maji...
 
hii kitu nilihuzunika nlipofika kwa brother.., bati alizotumia ni expensive alafu nyumba inavuja kama chujio ya nazi na kuta karibu zote zimelowana maji...

Duh aisee, wanasema fundi ndio wazinguaji
 
wanaojenga contemporary solution ya kudumu ya kuvuja kupitia pembeni ya ukuta ni kubandika bati isiyo na mkunjo kuazia kwenye beam ya juu mpaka kwenye slop ya bati... hapo utasahau mambo ya kuvuja
 
Back
Top Bottom