Msaada ::Rafiki yangu akiwa Home anapiga show mbovu ila akiwa Away anapiga show kali sana

Msaada ::Rafiki yangu akiwa Home anapiga show mbovu ila akiwa Away anapiga show kali sana

Akili 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2018
Posts
1,221
Reaction score
1,849
Habari !
Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!,
Mimi kwa upande wangu nimeshindwa kumpa jibu la kueleweka maana sijui , hivyo humu ndani kuna watu wanaelewa Sana hivyo ningeomba kupata sababu na nimshauri nn ili aendele kupiga show vizuri Home na Away?
Asanteni
 
Mkuu, kupiga show nzuri au mbovu inategemea na ushirikiano unaoupata kutoka kwa mwenzio. Sex ni two way traffic, sasa Kama huyo wa Nyumbani anadhani ni responsibility ya Mwanaume tu kufanya kila kitu, na yeye analala tu Kama Gogo linalosubiri kuchomwa mkaa, lazima show iwe mbovu.
 
Habari !
Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!,
Mimi kwa upande wangu nimeshindwa kumpa jibu la kueleweka maana sijui , hivyo humu ndani kuna watu wanaelewa Sana hivyo ningeomba kupata sababu na nimshauri nn ili aendele kupiga show vizuri Home na Away?
Asanteni
Si useme ni wewe Tu ili utibike....SASA wewe ficha uchi uone kama utazaa
 
Hii tabia ya kusema “rafiki yangu this, rafiki yangu that” wakati ni wewe huwa mnafeli sana aisee kama ni wewe unapiga show mbovu si useme tu... hakuna waku kujudge...

Humu hamna mkamilifu kila mtu ana shida zake
 
Huyo rafiki yako ni wewe mwenyewe. Acha utoto. Funguka tatizo lako usaidiwe
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
It hurts to see the one you really love loves someone else. But it hurts even harder when you find out that you were just their bridge to cross over to their loved ones.
 
Unafanya na watu wawili tofauti ni vipi matokeo yawe sawa??!

Mkeo akitoka nje unadhani anampa ka anavyokupa wewe??
 
Kwa nini mnapenda kuwa tumia marafiki kufikisha ujumbe wenu binafsi
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Mkuu, kupiga show nzuri au mbovu inategemea na ushirikiano unaoupata kutoka kwa mwenzio. Sex ni two way traffic, sasa Kama huyo wa Nyumbani anadhani ni responsibility ya Mwanaume tu kufanya kila kitu, na yeye analala tu Kama Gogo linalosubiri kuchomwa mkaa, lazima show iwe mbovu.
Hii nayo yaweza kuwa sababu kuu
 
Hii tabia ya kusema “rafiki yangu this, rafiki yangu that” wakati ni wewe huwa mnafeli sana aisee kama ni wewe unapiga show mbovu si useme tu... hakuna waku kujudge...

Humu hamna mkamilifu kila mtu ana shida zake
Ingekuwa Mimi ningejisema tu!! Mimi sijawahi kuoa so sijui shida za ndoa
 
Habari !
Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!,
Mimi kwa upande wangu nimeshindwa kumpa jibu la kueleweka maana sijui , hivyo humu ndani kuna watu wanaelewa Sana hivyo ningeomba kupata sababu na nimshauri nn ili aendele kupiga show vizuri Home na Away?
Asanteni
Ukisema ni wewe hutapungukiwa kitu, usisingizie watu.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Habari !
Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!,
Mimi kwa upande wangu nimeshindwa kumpa jibu la kueleweka maana sijui , hivyo humu ndani kuna watu wanaelewa Sana hivyo ningeomba kupata sababu na nimshauri nn ili aendele kupiga show vizuri Home na Away?
Asanteni
Ni wewe Wala sio Rafiki Yako Wala Nini, kwakukusaidia tu, fanya hivi.
Ondoa hio mentality, jaribu kubadilisha location na style badala ya kutumia kitandani na muda wa usiku tu.....utanishukuru baadae maana haiwezekani mwaka mzima "mnaonana" usiku tu, tumia hata weekend hii mchana "kuongea" na mwenza wako kuanzia saa nane Hadi kumi hivi then ndio utoke au mtoke
 
It hurts to see the one you really love loves someone else. But it hurts even harder when you find out that you were just their bridge to cross over to their loved ones.
Inahusikaje tena hii hapa 😳
 
Back
Top Bottom