Wana JF naomba ushauri. Ipo nyumba
ambayo imeezekwa bati za kawaida
(siku hizi wanasema bati za sufuria). Ni
za geji 30 za Alminium Africa. Bati
ziliezekwa 2004. zimeanza kushika kutu.
Nyumba ipo Kimara Dar es Salaam.
Nataka nizipake rangi.
Nataka rangi isiyopauka.
Je,upo uwezekano wa kupata rangi
isiyopauka?
Rangi hiyo inaitwaje?
ambayo imeezekwa bati za kawaida
(siku hizi wanasema bati za sufuria). Ni
za geji 30 za Alminium Africa. Bati
ziliezekwa 2004. zimeanza kushika kutu.
Nyumba ipo Kimara Dar es Salaam.
Nataka nizipake rangi.
Nataka rangi isiyopauka.
Je,upo uwezekano wa kupata rangi
isiyopauka?
Rangi hiyo inaitwaje?