Msosi unatoka vizuri tu, mwanzo unaweza usiwe master sana ila kadri siku zitakabyoenda utazoea, vile vya kupiga huku umefunika mfuniko na ambavyo sio lazima,kama vya kukaangaAsante sana kaka..by kilo sita or 8 what do u mean? Kwamba inakuwa na uwezo wa kupika kilo sita?
Vipi kuhusu umeme? Wa elfu 20 kwa mwezi unatosha?
Kuhusu mapishi inahitajika utaalamu wowote wa mpishi ili kiwe kinatoka chakula vizuri au ukitumiq kupikia inatoa chakula vizuri as long as umetumia pressure cooker?
Asante sana mkuu. Ila wali unatoka vizuri kabisa hakuna cha kutoka na kiini au sijui kuwa haujaiva?Msosi unatoka vizuri tu, mwanzo unaweza usiwe master sana ila kadri siku zitakabyoenda utazoea, vile vya kupiga huku umefunika mfuniko na ambavyo sio lazima,kama vya kukaanga
Vipimo vya kupima mchele na maji vipo,sufuria yake yenyewe ina vipimo vimeandikwa,ila kibongo bongo kwa kuwa mchele kihome hatupimi kwa mzani, vipomo vyake ni ngumu ku apply,tunachofanya ni ukiweka mchele wako weka maji pima na kidole cha kati mpaka maji yafikie mistari miwili ya kidole kutoka usawa wa mchele ulipoishiaAsante sana mkuu. Ila wali unatoka vizuri kabisa hakuna cha kutoka na kiini au sijui kuwa haujaiva?
Asante sana mkuu maana kupika wali kwangu imekuwa changamoto kweli kila nikipika naharibu so kama.kwenye pressure cooker kuna vipimo vyote basi kwangu itakuwa rahisi . Nanunuaga mchele kilo moja na nusu na nusu so kipimo tayari ninacho..Vipimo vya kupima mchele na maji vipo,sufuria yake yenyewe ina vimipo vimeandikwa,ila kibongo bongo bongo kwa kuwa mchelr kihome hatupimi kwa mzani, vipomo vyake ni ngumu ku apply,tunachofanya ni ukiweka mchele wako weka maji puma na kidole cha kati mpaja maji yafikie mistaru miwili yankidole kutoka usawa wa mchele ulipoishia
Kwenye gas na mkaa ulikuwa unakadiriaje maji?Asante sana mkuu maana kupika wali kwangu imekuwa changamoto kweli kila nikipika naharibu so kama.kwenye pressure cooker kuna vipimo vyote basi kwangu itakuwa rahisi . Nanunuaga mchele kilo moja na nusu na nusu so kipimo tayari ninacho..
Sikuwa na kipimo maalumu kaka ndio maana nilikuwa nakosea kila.nikipaka ndo maana nataka ninunue rice cooker au pressure cooker ili niondokane na hilo tatizoKwenye gas na mkaa ulikuwa unakadiriaje maji?
Ukitaka.kupika ili usikosee funga kitenge au kanga, ukipata dera.ndio unafotoa kitu cha ukweli,( just a joke) . Experiance inapatikana kwa kutenda jamboSikuwa na kipimo maalumu kaka ndio maana nilikuwa nakosea kila.nikipaka ndo maana nataka ninunue rice cooker au pressure cooker ili niondokane na hilo tatizo
Tsh.140,000/=Asante sana kaka inauzwa sh ngapi?
Asante sana kakaTsh.140,000/=
Mkuu mambo yasiwe mengi,
Kama una uchumi mkubwa nunua hayo wanayoshauri,
Ila mm langu nililinunua Ailyons 2020, kwa 50k tu pale tukaanza kutumia UDOM mwaka mzima, humo tumepikia kila kitu unachojua, nyama, njegere, dagaa, hapo unachemsha na kuunga [emoji23][emoji23][emoji23] + kuchemsha maji, after that nikaenda nalo geto kila siku napikia wali au maharage au kuchemshia nyama,
Sema mtaani huku siungii nyama,
Kuhusu umeme lina 700W, wali kg 1 na robo inatumia nusu saa so kama 0.35 unit,
Kwanini ununue pressure cooker?
- Usinunue Rice cooker.
- Bali nunua Pressure cooker
Utapika Kwa muda kidogo zadi hivyo kubana matumizi ya umeme.
- Utaweza kupika wali kama kawaida
- Utaweza kupigia Nyama
- Utaweza kupikia Maharage
- Kwa ujumla chochote kile waweza kupikia.
Bei : Haizidi 120,000
Brand: Ailyons ( na ndugu zake), Wapi: Karikoo ziko kwa wingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa rice cooker tu,unataka ushauri,sasa mangi ukifikia levo ya kujenga si utataka tambiko kabisa wewe
We mseeeMwaka wa tisa unakula tuu!!!! Hii nchi ndio maana inapatwa na majanga ya njaa kuna watu wanakula sana wali.
Saa moja, sema maji nakuwa naongeza maji ya motoMaharage yanaiva kwa dkk ngapi?