Msaada Rice cooker ipi nzuri yenye uwezo wa kupika mchele kilo moja na nusu?

Msaada Rice cooker ipi nzuri yenye uwezo wa kupika mchele kilo moja na nusu?

Mkuu nina mifano ya watu waliotumia hizo brands (ikiwemo mimi mwenyewe) na wanazisifia sasa sijui labda matoleo ni tofauti, kuna mahali nimeona umetaja Nikai sasa kuna watu nawafahamu hiyo brand hawataki hata kuisikia ongezea na Bosch, so mimi naona hizi brands ni suala la experience ya mtu binafsi ni kama tu kwenye vitu vingine kama simu au magari kila mtu huwa na machaguzi yake
Shida ya Aboda na alyons ni brand ambazo ni unknown.
Hata ukizitafuta zimetengenezwa wapi hazipatikani mitandaoni.

Ni sawa na mtu upo so smart lakini mkononi umeshika simu ya TECNO..

Inapunguza thamani ya muonekano..

Huwezi kuwa. Smart halafu nyumbani kwako ndani unamiliki brand ya aboda na alyons.
 
Hiyo sasa sio rice cooker ni pressure cooker. Maana rice cooker ipo limited kwa kupikia wali tu.
Ni kwelii pressure cooker inaweza kupika wali lakini Kuna tofauti kubwa sana kati ya wali uliopikwa na pressure cooker na ule uliopikwa na rice cooker! Pressure cooker inaharibu ladha na harufi ya wali.
 
Shida ya Aboda na alyons ni brand ambazo ni unknown.
Hata ukizitafuta zimetengenezwa wapi hazipatikani mitandaoni.

Ni sawa na mtu upo so smart lakini mkononi umeshika simu ya TECNO..

Inapunguza thamani ya muonekano..

Huwezi kuwa. Smart halafu nyumbani kwako ndani unamiliki brand ya aboda na alyons.
Ailyons hata website yake haijulikani. Nimejaribu kuitafuta hata sijaipata. Hata YouTube tutorials za jinsi ya kutumia Ailyons pressure cooker hazipo. Nahisi ni products Ambazo utengenezaji wake ni wa kijanjajanja, labda zinatengenezwa East Africa Kwa ajili ya wakazi wa East Africa.
 
Ailyons hata website yake haijulikani. Nimejaribu kuitafuta hata sijaipata. Hata YouTube tutorials za jinsi ya kutumia Ailyons pressure cooker hazipo. Nahisi ni products Ambazo utengenezaji wake ni wa kijanjajanja, labda zinatengenezwa East Africa Kwa ajili ya wakazi wa East Africa.

Natumia Ailyons mwaka wa 3 sasa na inakimbiza km haina akili nzuri. Acheni story za kufikirika
 
Hizi bidhaa zote ni nzuri akuna kampuni inayoweza hitaji kuharibu biashara zake iyo mnayoita makampuni ya vichochoroni hawawezi kuaribu sema anapoingia mtu kati akawa anaiga kwa chapa ya kampuni fulani shida ndo kuanzia hapo . Ni sawa useme dawa tatu huyu aseme panadol yule aseme sijui nn mwisho ingredients ni moja
 
Hizi bidhaa zote ni nzuri akuna kampuni inayoweza hitaji kuharibu biashara zake iyo mnayoita makampuni ya vichochoroni hawawezi kuaribu sema anapoingia mtu kati akawa anaiga kwa chapa ya kampuni fulani shida ndo kuanzia hapo . Ni sawa useme dawa tatu huyu aseme panadol yule aseme sijui nn mwisho ingredients ni moja
Japo kuna utofauti wa brand kati ya panadol na paracetamol

Mind you Panadol is much worthy than paracetamol in effectiveness and affordability that's why normal people will always go for paracetamol that is affordable and available almost everywhere but panadol is for some people tho i think many can buy em.
 
Mind you Panadol is much worthy than paracetamol in effectiveness and affordability that's why normal people will always go for paracetamol that is affordable and available almost everywhere but panadol is for some people tho i think many can buy em.
Kauli yako inaukakasi. Huweleweki.
 
Vitu Chukua Multicooker (Pressure Cooker), acha na rice cooker, ni limited
Watu washahama kwenye rice cooker na nyie wakuja mnaturudisha nyuma kavute westpoint hyo huwezmkuzikuta kwa waswahili kkoo hao ni wa hindi tu utamishukur huyo alienunua ri e cooker akapikia kila kitu ninusema mavi hyo ni kaz ya pressure/multi functional cooker
 
Back
Top Bottom