Msaada; Shida ya mkojo unanitesa sana

Msaada; Shida ya mkojo unanitesa sana

Wakuu Habarini/asalaam/Shalom

Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje

Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+

Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo,ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..

nimekunywa miti shamba mbalimbali,nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale

Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote

Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama

Karibuni wapendwa🙏🏿
Pole Sana
 
Wakuu Habarini/asalaam/Shalom

Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje

Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+

Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo,ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..

nimekunywa miti shamba mbalimbali,nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale

Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote

Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama

Karibuni wapendwa🙏🏿
Nenda Kairuki hospital onana na daktari wa njia ya mkojo yule jamaa ni master sana naamini utakuwa vizuri
 
Wakuu Habarini/asalaam/Shalom

Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje

Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+

Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo,ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..

nimekunywa miti shamba mbalimbali,nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale

Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote

Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama

Karibuni wapendwa🙏🏿
Kunywa chai isiyo na sukari u stimulate kukojoa mara Kwa mara!

Hasa usiku vikombe viwili au vitatu,na asubuhi ukiamka TU kunywa tena Kwa mwezi mmoja!!! Uone!

Ukiona hamna kitu jaribu hii;-

Unaujua mlonge!!?utafute mizizi yake OSHA ,kata kata vipande vidogo vidogo kama kiganja Cha mkono!

Weka maji vikombe vya chai hata vinne!halafu chemsha Hadi I've kama nusu saa!!kunywa maji yake kama chai pole pole!asubuhi na jioni!utapata kiu sana utakunywa maji na kukojoa sana!!

Utapona jaribu!
 
Pole sana! Unasema Urologist na ndugu yangu sana Dr Igenge hapo Bugando amekushindwa...! Huku kwetu kwenye herbal napo unasema umeshakunywa mpaka umetosha! Katika tiba huwa hatuchoki,katika kupambana kutafuta tiba kila mahali,ndipo unaweza kupata uponyaji.Achana kabisa na kukata tamaa juu ya afya yako.Mpaka sasa watu wako Appolo wanapambania afya.
Unaweza kuwa ndugu yangu pia maana dr igenge ni baba mdogo wangu bwana
 
Kwamba bugando wameshindwa? Kwanza achana na mitishamba pili unaweza ficha identity yako ukaweka vipimo ulivyofanya na matokeo yake ili usaidike vizuri.

Unatumia bima? Kuna baadhi ya wagonjwa wanashindwa kupata matibabu sahihi kulingana na kutomudu gharama za matibabu kwa maana ya vipimo na dawa.

Kama kuna hoja imejibiwa huko utanisamehe, nimesoma post #1 tu.

Zaidi ni kuwa kichocho kinatibika kwa dawa tu.
 
Pole sana! Unasema Urologist na ndugu yangu sana Dr Igenge hapo Bugando amekushindwa...! Huku kwetu kwenye herbal napo unasema umeshakunywa mpaka umetosha! Katika tiba huwa hatuchoki,katika kupambana kutafuta tiba kila mahali,ndipo unaweza kupata uponyaji.Achana kabisa na kukata tamaa juu ya afya yako.Mpaka sasa watu wako Appolo wanapambania afya.
Daaaah nashukuru sana kwa maneno yako ya kishujaa
 
Kwamba bugando wameshindwa? Kwanza achana na mitishamba pili unaweza ficha identity yako ukaweka vipimo ulivyofanya na matokeo yake ili usaidike vizuri.

Unatumia bima? Kuna baadhi ya wagonjwa wanashindwa kupata matibabu sahihi kulingana na kutomudu gharama za matibabu kwa maana ya vipimo na dawa.

Kama kuna hoja imejibiwa huko utanisamehe, nimesoma post #1 tu.

Zaidi ni kuwa kichocho kinatibika kwa dawa tu.
nimeweka majibu ya vipimo hapo👇🏾👇🏾
 

Attachments

  • IMG_0881.jpeg
    IMG_0881.jpeg
    1,013.5 KB · Views: 13
  • IMG_0880.jpeg
    IMG_0880.jpeg
    1 MB · Views: 12
  • IMG_0879.jpeg
    IMG_0879.jpeg
    864.6 KB · Views: 12
Wakuu Habarini/asalaam/Shalom

Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje

Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+

Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo,ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..

nimekunywa miti shamba mbalimbali,nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale

Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote

Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama

Karibuni wapendwa🙏🏿
Kunywa maji ya moto, kutwa lita tatu kwa uchache, ndani ya wiki moja utaona mabadiliko.
 
Wakuu Habarini/asalaam/Shalom

Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje

Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+

Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo,ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..

nimekunywa miti shamba mbalimbali,nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale

Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote

Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama

Karibuni wapendwa🙏🏿
Ni pm nitakusaidia
 
Back
Top Bottom