Sawa Bi’Mkubwa………Noted!!!!Kama unavyochemsha chai na unakunywa kidogo kidogo kama chai. Chunga usijiunguze mdomo.
Dalili kama za tezi dume, pole sana comrade.Wakuu Habarini/asalaam/Shalom
Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje
Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+
Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo, ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..
Nimekunywa miti shamba mbalimbali, nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale.
Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote.
Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama.
Karibuni wapendwa🙏🏿
Huenda una BPH (tezi dume).Wakuu Habarini/asalaam/Shalom
Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje
Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+
Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo, ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..
Nimekunywa miti shamba mbalimbali, nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale.
Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote.
Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama.
Karibuni wapendwa🙏🏿
Ni kawaida siku hizi magonjwa ya wazee kuwapata vijana .Tezi dume kwa umri huu Mkuu……25 naweza pata tezidume kweli!?
Yeah!!! Upo sahihi sana,kuna muda nikiwa nazagamuana na binti yoyote nitachukua muda mrefu sana,mpaka binti anachoka…………Yani inakuwa ni kero na wakati inapaswa kuwa tendo la rahaTatizo hilo limenikuta kwenye utu uzima, nimepimwa kila kitu ikiwemo tezi dume na figo, japo kiaina ni kama linapungua lenyewe.
Sema mojawapo ni kuchelewa hata kukojoa kwenye mechi na mwanamke, yaani namfyatua muda mrefu sikojoi hadi inakua kero.
Vipi mrejesho mkuu?Wakuu Habarini/asalaam/Shalom
Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje
Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+
Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo, ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..
Nimekunywa miti shamba mbalimbali, nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale.
Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote.
Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama.
Karibuni wapendwa🙏🏿
Bado hali ipo pale pale MkuuVipi mrejesho mkuu?
Pole sanaa vyema ukapimwa na vipimo vya mambo ya kiroho kuona uhalisia wa tatizo lilivyoWakuu Habarini/asalaam/Shalom
Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje
Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+
Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo, ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..
Nimekunywa miti shamba mbalimbali, nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale.
Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote.
Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama.
Karibuni wapendwa🙏🏿
Mkuu unaendeleaje? Am going through the same problem. Kipimo kinasahaulika na Urologists wengi ni hichi. Umefanya?Kapime kwanza PSA (Prostate Specific Antigen)
Si utaje Jina la Hospitali na location kwa faida ya wengi, au hiyo ni kwa huyo mtoa mada tuURINE in Natural Knowledge and Treatment:
( Heshoutang Natural Health System )
Mkojo upo chini ya udhibiti wa Mfumo wa FIGO & KIBOFU ;
So tunachoangalia ni kwamba kuna shida gani kwenye Mfumo
So huyu ndugu mkojo unatoka kidogo sana , kitaalamu tunaita “ Dripping Urine “
So mtu anaweza experience “ Burning Urine , Dripping Urine , Painful Urine ;
Generally tatizo kama hilo hutokana na aina ya toxin inaitwa “ Hot dampness toxin” kwenye Mfumo wa Figo & Kibofu ( Kidney & Bladder system “KB” )
Hii aina ya sumu inaenda block urine channel kwenye Kibofu na kusababisha tatizo la mkojo kama hivyo ,
Hilo tatizo lisipotibiwa ipasavyo huweza sababisha shida ya Tezi dume , au pia Mawe kwenye Figo ( Kidney stone )
The reason kwenye conventional medicine ( hospital) ni challenge sana kwa shida kama hizo , ni sababu wanaangalia Organs ( damaged organs ) , na sio energy balancing & Toxin clearance ambayo hii ndio chanzo cha magonjwa yote
Kila ugonjwa una toxin yake na lazima unakuwa connected na energy fulani kufanya imbalance level na kuzalisha sumu mwilini hivyo ugonjwa kutokea ,
Mwili utaonesha dalili kujua ni sumu aina gani ipo na ni kwenye Mfumo upi na iko connected na energy gani !
Treatment plan :
1. Clear hot dampness toxin into Kidneys & Bladder system
2. Improve Circulation by opening Urine channel
Tutakupatia dawa za kufanya hayo mambo na utarudi sawa kabisa bila shida !
Kwa shida yoyote ya kiafya , wasiliana nasi kwa namba
0653048888 , 0757577995
Mkuu bado sijafanya Ila ninauliza kama hicho kipimo kwa hapa Bongo kipo hospital gani na vipi kuhusu gharama;Mkuu unaendeleaje? Am going through the same problem. Kipimo kinasahaulika na Urologists wengi ni hichi. Umefanya?
M
Mkuu bado sijafanya Ila ninauliza kama hicho kipimo kwa hapa Bongo kipo hospital gani na vipi kuhusu gharama;
Kinaweza tumika kwa bima au mpaka
Kama cash ipo kidogo nenda Aghakan kaka. PSA pale ni 130,000Tshs. Kuna Dr wazuri wengi pia unaweza kuwaona. Dr Kamran - Aghakan, Dr Kibona Anakua muhimbili, Hindumandal na Haitech au Dr Ally Byser anakua Seifee pale.M
Mkuu bado sijafanya Ila ninauliza kama hicho kipimo kwa hapa Bongo kipo hospital gani na vipi kuhusu gharama;
Kinaweza tumika kwa bima au mpaka niwe na cash!??
Pima tezi dume mkuuWakuu Habarini/asalaam/Shalom
Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje
Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+
Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo, ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..
Nimekunywa miti shamba mbalimbali, nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale.
Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote.
Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama.
Karibuni wapendwa🙏🏿
Alikwanbia alifanya utaalam gani akawa amemaliza tatizo!??Kuna jamaa aliwahi kuwa na tatizo kama hili kwa miaka 3...
Baadae alikuja kunambia alihangaika sana kupata tiba mpaka kuja kugundua ni mambo ya kiswahili.
Anasema amepona.
wacheck hawa Home Dar-Kinondoni, hotline +255 783254970Wakuu Habarini/asalaam/Shalom
Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje
Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+
Nikienda haja ndogo ninateseka sana kutoa mkojo, ninaweza kutumia mpaka dakika 10 au zaidi ndo mkojo utoke, na ukitoka natoa mkojo mdogo sana na bado mwingine nahisi upo ndani………..
Nimekunywa miti shamba mbalimbali, nimekwenda hospital kubwa Kama Bugando-Mwanza lakini hali bado iko pale pale.
Nilipoenda Bugando,nilikutana na urologists,walinifanyia vipimo na wakaniwekea mpaka catheter (Mrija kwenye njia ya mkojo)niliambiwa nasumbuliwa na kichocho………nikapewa vidonge nikatumia kwa muda mrefu sana lakini bado hali ikawa ile ile mpaka Leo na hakuna mabadiliko yoyote.
Kama kuna mtu anapitia changamoto au alishawahi pitia karibu tushauriane ni kwa namna gani ulitoka kwenye hii dhahama.
Karibuni wapendwa🙏🏿
mimi nawapenda sana nyie mnaochelewa kukojoaa!Alikwanbia alifanya utaalam gani akawa amemaliza tatizo!??