Rasasem Senior Member Joined Jun 25, 2022 Posts 100 Reaction score 79 Aug 14, 2023 #1 Habari Wana jamvi, Kwa mwenye kufahamu shule ya serikali ya wasichana tu mkoa wa Dar nahitaji kumuhamishia mdogo wangu tafadhali naomba anijuze.
Habari Wana jamvi, Kwa mwenye kufahamu shule ya serikali ya wasichana tu mkoa wa Dar nahitaji kumuhamishia mdogo wangu tafadhali naomba anijuze.
999 chatta JF-Expert Member Joined Apr 17, 2020 Posts 758 Reaction score 1,372 Aug 15, 2023 #2 Rasasem said: Habari Wana jamvi, Kwa mwenye kufahamu shule ya serikali ya wasichana tu mkoa wa Dar nahitaji kumuhamishia mdogo wangu tafadhali naomba anijuze. Click to expand... Shule za wasichana kwa dsm kuna Jangwani, zanaki na Kisutu
Rasasem said: Habari Wana jamvi, Kwa mwenye kufahamu shule ya serikali ya wasichana tu mkoa wa Dar nahitaji kumuhamishia mdogo wangu tafadhali naomba anijuze. Click to expand... Shule za wasichana kwa dsm kuna Jangwani, zanaki na Kisutu
Nyuki Mdogo JF-Expert Member Joined Oct 31, 2021 Posts 4,134 Reaction score 10,644 Aug 15, 2023 #3 Kuna DP WORLD high school iko kila kona ya nchi
Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,404 Reaction score 10,900 Aug 15, 2023 #4 Rasasem said: Habari Wana jamvi, Kwa mwenye kufahamu shule ya serikali ya wasichana tu mkoa wa Dar nahitaji kumuhamishia mdogo wangu tafadhali naomba anijuze. Click to expand... kidato Cha ngapi
Rasasem said: Habari Wana jamvi, Kwa mwenye kufahamu shule ya serikali ya wasichana tu mkoa wa Dar nahitaji kumuhamishia mdogo wangu tafadhali naomba anijuze. Click to expand... kidato Cha ngapi
Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,404 Reaction score 10,900 Aug 15, 2023 #5 999 chatta said: Shule za wasichana kwa dsm kuna Jangwani, zanaki na Kisutu Click to expand... Ongeza Kwembe Girls, mpya ipo Mbezi ya Kimara karibu na Kwa mkuu wa wilaya
999 chatta said: Shule za wasichana kwa dsm kuna Jangwani, zanaki na Kisutu Click to expand... Ongeza Kwembe Girls, mpya ipo Mbezi ya Kimara karibu na Kwa mkuu wa wilaya
Rasasem Senior Member Joined Jun 25, 2022 Posts 100 Reaction score 79 Aug 15, 2023 Thread starter #6 Kid Super Sub Steve said: kidato Cha kwanza Click to expand...