Msaada: Sijapata hedhi toka Oktoba 30

Post # 14 ita kusaidia! Ila swala la UPT( urinary pregnacy test ) ndo uachane nalo!? Vp una mtoto!? Mara nyingi ni menstral abnomality au hormonal imbalance! Ulisha pigaga abdominal ultrasound!? Ushakuwa na historia yakuwa na multple myoma( uvimbe)..!?
 
hapana sijawahi chochote
 
niliendaga Hosp nikaambiwa kupima hormone imbalance 140000 eti mpaka nmekata tamaa
 
Subiri mwezi wa pili kama ni tofauti nenda hospital.
 
mtoa uzi..... na anae jibu mbona ni wawili tofauti? au ni mapacha wana face matatizo yanayo fanana...?
Mbona nilishaulizaga..
nmeishia kupata kejeli tu
naendaga Tatizo garama
naendaga Tatizo garama
kujiunga tu million moja na ushee

maana sina kazi wala sisomi. sijawahi kuwa na bima
niliendaga Hosp nikaambiwa kupima hormone imbalance 140000 eti mpaka nmekata tamaa
22 miaka
sijazaa
tatizo miaka mi2 sasa
 
hapana sijawahi chochote
Mambo 2 ya kufanya ni
1: fanya ultrasound

2: check hormo hifuatazo

Lutenizing,folical stimulating prohesterone na estrogen.

Bila hayo mambo huwezi pata jibu sahihi ya kinacho kusumbua .!!

Hormone: clinical chemistry na fikiri 12000@ 1
 
ndo shida hyo ya baadhi ya watu wa jf !nakukumbuka kwenye ishu ya usikivu tu !pole mamy !usikate tamaa
Asante..
Yani nna matatizo ambayo natembea,navaa napendeza nacheka na hata huwezi dhani nna tatizo..
ila inside [emoji22] i am burning
 

Kuna mambo mengi sana inabidi tuyajue kabla hatuja kushauri kitaalam
1.Miaka yako ni mingapi?
2.Umehama kufika hapo ulipo lini?
3.Una level gani ya stress?
4.Unafanya mazoezi au hufanyi
5.Ume sex kabla ya October 30
6.Umewahi kuumwa hivi karibuni Dr wako akakupa prescription?
7.Aina ya chakula unachokula
8.Unakunywa pombe au soda kwa wingi?
9.Mwili wako ni mnene au mwembamba
10.Unakunywa maji glass ngapi kwa siku?
11.Umewahi kuumwa uvimbe wowote na kupata dawa ya kuziondoa tumboni?


Ukijibu baadhi ya haya tutaweza kusema!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…