Msaada: Sijapata hedhi toka Oktoba 30

Msaada: Sijapata hedhi toka Oktoba 30

Yani napata hedhi kila mwezi, lakini sasa maumivu nnayopata acha tu..

Naumwa nyonga ,hips ,miguu inauma sana yani humu kwenye maungia na misuli inauma

chini ya kitovu ndio panauma kama kuna kidonda..
halafu inatoka kidogo sana... yani kutwa nzima ni kama matone 10 hivi pamoja na maumivu yote hayo...
yani hata nikisema nivae pedi Siku5 haijai
Post # 14 ita kusaidia! Ila swala la UPT( urinary pregnacy test ) ndo uachane nalo!? Vp una mtoto!? Mara nyingi ni menstral abnomality au hormonal imbalance! Ulisha pigaga abdominal ultrasound!? Ushakuwa na historia yakuwa na multple myoma( uvimbe)..!?
 
Post # 14 ita kusaidia! Ila swala la UPT( urinary pregnacy test ) ndo uachane nalo!? Vp una mtoto!? Mara nyingi ni menstral abnomality au hormonal imbalance! Ulisha pigaga abdominal ultrasound!? Ushakuwa na historia yakuwa na multple myoma( uvimbe)..!?
hapana sijawahi chochote
 
Niaze kwa kusema pole kwa tatizo ulilolipata....kitendo cha kutopata hedhi(amonorhea).. hii husababishwa na vitu lakina jambo ambalo ni kubwa na la kwanza na la msingi ni UJAUZITO(kama ulivyosema ulishapolima kipimo cha mimba UPT..sijajua ulipima lini? na baada ya mda gani? pale ulipohis hupati hedhi una umri gani? ulishawah kutoa mimba!? ushawah kupata tatizo kama hili uko nyuma? na kwenye familia je kuna mtu alishawah kupata shida kama hii!?...nigependa unipe kwanza haya majibu)..

sasa kama nilivyosema wazo la kwanza ni UJAUZITO ivyo tutakupima mimba sasa kwa kipimo cha UPT hapa sasa ili tujiridhishe ni mimba au lah!!! kama ni mimba basi tutakuanzishia clinic (RCH4) na maswala mengiene ya ujauzito yatafuta...
na pia kama kipimo kitasoma Negative(-) maana yake mimba haipo sasa hapa inabid tuangalie chanzo cha kutopata hedhi tatizo ilo linaitwa[Secondary amonorhea!!!] ambapo sasa husababishwa na vitu vingi kama vifuatavyo
1/ mvurugiko wa homoni(hormone imbalance)
2/uzito uliopitiliza (obesity)
3/vyakula(nutrition disorder)
4/ uvimbe(polys,,myoma,,,GTD)
5/mzunguko hedi usio na uwiano(irregural menstrual cycle)..
6/kutoa mimba(abortion)
7/msongo wa mawazo(stress)
na vitu vingine
SASA UFANYAJE /KIPI KIFANYIKE
nenda hosptali iliyokaribu watakupima vipimo ivi

UPT(ichi ni kipimo cha mimba ili tujue mimba ipo au haipo)

kama mimba haipo then itabid vipimo vifuatavyo
1/ Hormone profile (kucheki hormone zako zimekaaje) na kama zitakua sawa au zitaonekana zinashida utapewa dawa ya kuweka hormone sawa na mwisho wa siku mambo yatakaa sawa!!!

2/Abdominal ultrasound(USS) hii itatusaidia kutuambia tatizo nin haswa kwenye mfumo wako wa uzazi ivyo kubaini shida na kupewa huduma stahiki...

baada ya hapa kaa kutakua kuna ulazima wa vipimo vingine then vitafuata ila ivi ndo vyamsing sana

NB: sio mala zote mtu asipopata hedhi huwa ni tatizo la kiafya wakat mwingine huwa ni msongo wa mawazo mazingira ata mazoezi magumu ivyo baada ya mda mambo huwa shwari...

naamin umepata mwangaza kidogo ila uwahi hospitali mapema!!!!
niliendaga Hosp nikaambiwa kupima hormone imbalance 140000 eti mpaka nmekata tamaa
 
Habari ndugu zangu.
Mara ya mwisho kuingia siku zangu ni Octoba 30, hadi leo hii December kimya inapita tu siielewi na nimepima UPT sina ujauzito, wakati chuchu zinauma na wajati mwingine timboni najihisi kama nakaribia period lakini hakuna chochote kinachotoka. hali hii inanichanganya,

Kuna rafiki kuniambia yaweza kuwa homon imbalance sasa sijui ni sahihi au la na sijui matibabu yake ni yapi ili niweze kuona ada yangu ya kila mwezi
Kwa mwenye kuelewa naomba unisaidie tafadhali.
Subiri mwezi wa pili kama ni tofauti nenda hospital.
 
Habari ndugu zangu.
Mara ya mwisho kuingia siku zangu ni Octoba 30, hadi leo hii December kimya inapita tu siielewi na nimepima UPT sina ujauzito, wakati chuchu zinauma na wajati mwingine timboni najihisi kama nakaribia period lakini hakuna chochote kinachotoka. hali hii inanichanganya,

Kuna rafiki kuniambia yaweza kuwa homon imbalance sasa sijui ni sahihi au la na sijui matibabu yake ni yapi ili niweze kuona ada yangu ya kila mwezi
Kwa mwenye kuelewa naomba unisaidie tafadhali.
mtoa uzi..... na anae jibu mbona ni wawili tofauti? au ni mapacha wana face matatizo yanayo fanana...?
Mbona nilishaulizaga..
nmeishia kupata kejeli tu
naendaga Tatizo garama
naendaga Tatizo garama
kujiunga tu million moja na ushee

maana sina kazi wala sisomi. sijawahi kuwa na bima
niliendaga Hosp nikaambiwa kupima hormone imbalance 140000 eti mpaka nmekata tamaa
22 miaka
sijazaa
tatizo miaka mi2 sasa
 
hapana sijawahi chochote
Mambo 2 ya kufanya ni
1: fanya ultrasound

2: check hormo hifuatazo

Lutenizing,folical stimulating prohesterone na estrogen.

Bila hayo mambo huwezi pata jibu sahihi ya kinacho kusumbua .!!

Hormone: clinical chemistry na fikiri 12000@ 1
 
ndo shida hyo ya baadhi ya watu wa jf !nakukumbuka kwenye ishu ya usikivu tu !pole mamy !usikate tamaa
Asante..
Yani nna matatizo ambayo natembea,navaa napendeza nacheka na hata huwezi dhani nna tatizo..
ila inside [emoji22] i am burning
 
Habari ndugu zangu.
Mara ya mwisho kuingia siku zangu ni Octoba 30, hadi leo hii December kimya inapita tu siielewi na nimepima UPT sina ujauzito, wakati chuchu zinauma na wajati mwingine timboni najihisi kama nakaribia period lakini hakuna chochote kinachotoka. hali hii inanichanganya,

Kuna rafiki kuniambia yaweza kuwa homon imbalance sasa sijui ni sahihi au la na sijui matibabu yake ni yapi ili niweze kuona ada yangu ya kila mwezi
Kwa mwenye kuelewa naomba unisaidie tafadhali.

Kuna mambo mengi sana inabidi tuyajue kabla hatuja kushauri kitaalam
1.Miaka yako ni mingapi?
2.Umehama kufika hapo ulipo lini?
3.Una level gani ya stress?
4.Unafanya mazoezi au hufanyi
5.Ume sex kabla ya October 30
6.Umewahi kuumwa hivi karibuni Dr wako akakupa prescription?
7.Aina ya chakula unachokula
8.Unakunywa pombe au soda kwa wingi?
9.Mwili wako ni mnene au mwembamba
10.Unakunywa maji glass ngapi kwa siku?
11.Umewahi kuumwa uvimbe wowote na kupata dawa ya kuziondoa tumboni?


Ukijibu baadhi ya haya tutaweza kusema!!
 
Back
Top Bottom