fasi dwasi
R I P
- Sep 23, 2018
- 105
- 108
Jamani nina maumivu makali sana tena sana kwenye uti wa mgongo na leo ndio siku y 6 tu tangu nianze dozi za TB
Naombeni ushauri hii ndio TB tu au kuna tatizo jingne maana Daktari amenijibu endelea na dawa tu ila nateseka nimelala kitandani napata maumivu makali kwenye uti wa mgongo. Msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni ushauri hii ndio TB tu au kuna tatizo jingne maana Daktari amenijibu endelea na dawa tu ila nateseka nimelala kitandani napata maumivu makali kwenye uti wa mgongo. Msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app