Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Helloh, pole sana kwa hali unayopitia. Naomba kujua walitumia kipimo gani kugundua una TB?Jamani eeh nina maumivu makali sana tena sana kwny uti wa mgongo na leo ndio sku y 6 tu tangu nianze dozi za TB
Naomben ushauri jmn hii ndio TB tu au kuna tatzo nyngne maana doctor amenijibu endelea na dawa 2 ila nateseka nimelala kitandani napata maumivu makali kwenye uti wa mgongo jamani msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania kuna "Doctor" alimwambia mtu kuwa ana TB akakndamizwa madawa akawa anazidiwa tu, ndugu zake wakampeleka India huko baada ya vipimo vya uhakika akakutwa hana TB ana acidity tu imemfanyia ulcers inamsumbua. Katibiwa siku tatu, karudi mzima wa afya.
Tanzania tiba ni majanga kusema kweli.
Mtoa mada amesha fariki mkuu, so sadHakikisha kweli una TB kama dada anavyosema hapa ni muhimu. Chukua Xray zako peleka kwa madaktari wazuri tofauti kabla ya kudandia madawa. TB haipatikani kirahisi hivyo. Unaweza ukawa na ugojwa mwingine. Vilevile TB inaambukiza inakuwaje upo tu mtaani ! Dr huyu mashakani
Helloh, pole sana kwa hali unayopitia. Naomba kujua walitumia kipimo gani kugundua una TB?
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP vipi tena jamani wakati jamaa anaelezea tu changamoto za ugonjwa wake!.
Sent using Jamii Forums mobile app