fasi dwasi
R I P
- Sep 23, 2018
- 105
- 108
Majina ya hizo dawa please.
Nimeshindwa kusoma jina
Madaktari waliosomea ujinga?Tanzania kuna "Doctor" alimwambia mtu kuwa ana TB akakndamizwa madawa akawa anazidiwa tu, ndugu zake wakampeleka India huko baada ya vipimo vya uhakika akakutwa hana TB ana acidity tu imemfanyia ulcers inamsumbua. Katibiwa siku tatu, karudi mzima wa afya.
Tanzania tiba ni majanga kusema kweli.
Niliwahi kupata case kama hii nilikuwa napata maumivu makali ya mgongo na homa kwenda hospital mara ya kwanza wakasema hakuna kitu mara ya pili baada ya kuzidiwa wakanipeleka kwa Dr Bingwa ana kliniki hapo nikapiga x-ray aliposoma akasema kuna matundu inaweza kuwa TB ya mifupa nikaanzishiwa dozi nimezinywa karibu mwezi hakuna relief zaidi ya hali kuwa mbaya kuja kucheck mara ya pili wakasema siyo TB ni leukemia baada ya uchunguzi tena wakasema siyo leukemia.....Tanzania kuna "Doctor" alimwambia mtu kuwa ana TB akakndamizwa madawa akawa anazidiwa tu, ndugu zake wakampeleka India huko baada ya vipimo vya uhakika akakutwa hana TB ana acidity tu imemfanyia ulcers inamsumbua. Katibiwa siku tatu, karudi mzima wa afya.
Tanzania tiba ni majanga kusema kweli.
2 RHZENimeshindwa kusoma jina
Haya maisha yetu ya kiafrica ni shida kwelikweli.Niliwahi kupata case kama hii nilikuwa napata maumivu makali ya mgongo na homa kwenda hospital mara ya kwanza wakasema hakuna kitu mara ya pili baada ya kuzidiwa wakanipeleka kwa Dr Bingwa ana kliniki hapo nikapiga x-ray aliposoma akasema kuna matundu inaweza kuwa TB ya mifupa nikaanzishiwa dozi nimezinywa karibu mwezi hakuna relief zaidi ya hali kuwa mbaya kuja kucheck mara ya pili wakasema siyo TB ni leukemia baada ya uchunguzi tena wakasema siyo leukemia.....
Kuna shida sana kwenye diagnosis hapa unaweza ukapoteza maisha hivihivi usipochukua hatua za ziada ukiridhika na majibu ya sehemu moja
Tanzania kuna "Doctor" alimwambia mtu kuwa ana TB akakndamizwa madawa akawa anazidiwa tu, ndugu zake wakampeleka India huko baada ya vipimo vya uhakika akakutwa hana TB ana acidity tu imemfanyia ulcers inamsumbua. Katibiwa siku tatu, karudi mzima wa afya.
Tanzania tiba ni majanga kusema kweli.
Haina uhusiano wowote.
PengineHaina uhusiano wowote.
Ni matatizo ya kudanganywa kwa scholarships.
Yaaani kongole ndugu ama kweli makaburi mengi ya maskiniTanzania kuna "Doctor" alimwambia mtu kuwa ana TB akakndamizwa madawa akawa anazidiwa tu, ndugu zake wakampeleka India huko baada ya vipimo vya uhakika akakutwa hana TB ana acidity tu imemfanyia ulcers inamsumbua. Katibiwa siku tatu, karudi mzima wa afya.
Tanzania tiba ni majanga kusema kweli.