Msaada: Siku sita tangu nianze dawa za TB nasikia maumivu makali sana ya uti wa Mgongo

Helloh, pole sana kwa hali unayopitia. Naomba kujua walitumia kipimo gani kugundua una TB?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha.

Kwa jinsi inavyoonyesha huyu mwana jf mwenzetu amepoteza maisha kutokana na PROFESSIONAL NEGLIGENCE ya hali ya juu kabisa.

Huu ni mfano hai wa hali zilivyo katika mahospitali yetu. Watu wanatibiwa empirically, tena kwa kubahatisha bahatisha.

Kuna shida kubwa sana kwa madaktari wetu wa sasa.

Ingekuwa huu uzembe umetokea katika nchi zilizoendelea kuna watu sasa hivi nina uhakika wangekuwa tayari wanakabila na tuhuma nzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
r.i.p mkuu!
Umetangulia nasi tutafata...
 


Hakikisha kweli una TB kama dada anavyosema hapa ni muhimu. Chukua Xray zako peleka kwa madaktari wazuri tofauti kabla ya kudandia madawa. TB haipatikani kirahisi hivyo. Unaweza ukawa na ugojwa mwingine. Vilevile TB inaambukiza inakuwaje upo tu mtaani ! Dr huyu mashakani
 
Mtoa mada amesha fariki mkuu, so sad
 
Pole kwa wafiwa JF Dar na Members Wote kwa ujumla.

Pongezi kwa Wote walioshirikiana na Marehemu kwa namna moja au nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…