Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Nahitaji simu ya kawaida kabisa bajeti yangu laki na 30.
Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25.
Nakumbuka mwaka 2017 nilinunua kisimu cha promotion pale Mlimani City cha VODAFONE. Nilikinunua sh elfu themanini ila kilikuwa very useful strong and powerful na kilikuwa kinatoa sauti nzuri sana ukirekodi audio.
Nilienda kukiulizia tena mwaka jana nikakuta havipo tena stock limeisha.
Now natumia simu ya mkopo ambayo ninaweza nikasema ni kama nimepigwa. Gharama yake jumla ni kama sh laki 3 na themanini. Ila up to know simu imekufa sauti mtu akipiga hamsikilizani. Audio haifanyi kazi kabisa hata ukijirekodi sauti unasikika kwa mbali sana.
Ni simu ya kihindi hawa jamaa wauzaji nahisi watakuwq walikosa soko wakaamua kurudisha gharama zao kwa kutupiga kwa staili hiyo. Sasa nauliza bandugu je ni simu gani ya gharama nafuu ambayo ukirekodi sauti inasikika vizuri?
Kama una ijua naomba unifahamishe na gharama yake tafadhali na inapopatikana ndani ya Dar es salaam.
Asante sana
Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25.
Nakumbuka mwaka 2017 nilinunua kisimu cha promotion pale Mlimani City cha VODAFONE. Nilikinunua sh elfu themanini ila kilikuwa very useful strong and powerful na kilikuwa kinatoa sauti nzuri sana ukirekodi audio.
Nilienda kukiulizia tena mwaka jana nikakuta havipo tena stock limeisha.
Now natumia simu ya mkopo ambayo ninaweza nikasema ni kama nimepigwa. Gharama yake jumla ni kama sh laki 3 na themanini. Ila up to know simu imekufa sauti mtu akipiga hamsikilizani. Audio haifanyi kazi kabisa hata ukijirekodi sauti unasikika kwa mbali sana.
Ni simu ya kihindi hawa jamaa wauzaji nahisi watakuwq walikosa soko wakaamua kurudisha gharama zao kwa kutupiga kwa staili hiyo. Sasa nauliza bandugu je ni simu gani ya gharama nafuu ambayo ukirekodi sauti inasikika vizuri?
Kama una ijua naomba unifahamishe na gharama yake tafadhali na inapopatikana ndani ya Dar es salaam.
Asante sana