Msaada: Simu gani ina rekodi sauti vizuri ambayo naweza kuitumia ku record content you tube?

Njoo nkupe hii package kwa 25k hutojutia
 

Attachments

  • Screenshot_20240428_013417_WhatsApp.jpg
    171.3 KB · Views: 8
Ahaa na nilikuwa najua labda kapata sound clear ni lazma utoboke Ila kwa hizo bei nimeona inawezekana.

Na kuna zile mic huwa zimekaa kama vibufa vidogo. Naona wenye podcasts wanazitumia sana Ila sijajua ni bei gani
Kumbe ni mdau aa podcast. Safi sana.
 
Ahaa na nilikuwa najua labda kapata sound clear ni lazma utoboke Ila kwa hizo bei nimeona inawezekana.

Na kuna zile mic huwa zimekaa kama vibufa vidogo. Naona wenye podcasts wanazitumia sana Ila sijajua ni bei gani
Zile za kishua sana. Bei zake kidogo unakuta juu.
 
Asante sana mkuu asubuhi nitadamkia Mlimani City kutafuta kisimu cha walau laki na nusu then niende Kariakoo nitafute hizo microphone.

Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia nikitumia hiyo microphone sauti inatoka quality kama studio?
 
Ahaa na nilikuwa najua labda kapata sound clear ni lazma utoboke Ila kwa hizo bei nimeona inawezekana.

Na kuna zile mic huwa zimekaa kama vibufa vidogo. Naona wenye podcasts wanazitumia sana Ila sijajua ni bei gani
Aje tumpe zote zipo dulani
Kwa bei ya 25k tu
 

Attachments

  • Screenshot_20240428_013417_WhatsApp.jpg
    171.3 KB · Views: 9
Ila mkuu sasa sawa sikatai ndio budget yako ya 130K afu upate high quality kwa ajili ya content za YouTube ?? Ninachotaka kusema kama ulichukua device uliyoko nayo saiv ya 300K afu unasema imekufa .. sembuse hiyo 130K tena Kwa Ajili ya Content...hata hao audience inabidi wawe na moyo wa kuangalia hizo content zako...No offense [emoji23]
 
Kama umesoma vizuri uzi wangu nimesema mwaka 2017 nili nunua Mlimani City simu ya elfu 80 na ilikuwa ina rekodi sauti vizuri tu.


Kingine nimesema hii simu ya mkopo nimepigwa kwa sababu hata sauti kuwasiliana na mtu hatusikilizani vizuri.
 
Asante sana mkuu asubuhi nitadamkia Mlimani City kutafuta kisimu cha walau laki na nusu then niende Kariakoo nitafute hizo microphone.

Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia nikitumia hiyo microphone sauti inatoka quality kama studio?
Laki na nusu unaenda nayo Mlimani City kufanya nini kama sio utani?

Zama Kariakoo kajitupe kwenye ma-Tecno huko ya low budget, Mlimani City sio sehemu sahihi ya kununua bidhaa ikiwa hela Yako ni ya ngama
 
Watanzania wanajali content sio presentation yake na ukitaka kujua angalia content za vichekesho. Nyingi zipo natural tu, hakuna lighting wala sauti nzuri Ila watu wanajali kusikia, kuona na kucheka. So ni kawaida sana
 
Kama umesoma vizuri uzi wangu nimesema mwaka 2017 nili nunua Mlimani City simu ya elfu 80 na ilikuwa ina rekodi sauti vizuri tu.


Kingine nimesema hii simu ya mkopo nimepigwa kwa sababu hata sauti kuwasiliana na mtu hatusikilizani vizuri.
Ndio maana uliporudi ukaambiwa hazipo.

2017 Whatsapp tu ilikuwa ukii download ilikuwa na 15MB

Saizi app hiyo ina 45+MB

Ushauri wangu ni kwamba utafute simu ambayo itakuwa na standard za kuendana au kukaribiana na usasa wa technology ambayo tupo.

Kwa maana usitafute simu Kawasababu tu ya kazi ya kurekodi audio halafu siku ukawa na mahitaji ya kuitumia Kwa mambo mengine ukajikuta unakwama Kawasababu Haina uwezo.

Ni ushauri tu.
 

Kama hichi hapa

Sauti inatoka very clear

@20,000 tu
 
Mkuu tafuta flagship za Nokia Lumia, hazina issue siku hizi matumizi ya kawaida masoko ya mtumba unazipata bei za kutupa most of time chini ya laki.

Simu kama lumia 950, 930, 925 etc zilikua na Haac mics ambazo mpaka leo ngumu sana kukuta simu ina record vizuri kama Lumia.

Unaweza cheki youtube search "Haac rich recording"

Downside ni kwamba pengine utahitaji kutumia camera kurecord hio audio,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…