Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn cjakuelewaaa hiyo screen shot na maelezoo tofautii mkuuMsaada wakuu
Cm yangu ni huawei.ni used from china
Cm ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini
Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
unatumia sim ganSijuii whatsapp wana shida ganii mbn hata mm nkijisajili yaan nkikaaa kidogo tu wananiambiaaa you have log out of this account nikiingiaa want niambiaaa hivoo
Kwa kifupi ipo Hivi SIMU ZA HUAWEI zilipigwa ban na wamarekani katika sakata hilo zikazuiwa kupewa android system na services zote kutoka Google Huawei wakasema sisi tupo vizuri tutaanzisha OS yetu ambayo ndio hiyo hamony na hawatatumia Apps za wamarekani tenaMsaada wakuu
Cm yangu ni huawei.ni used from china
Cm ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini
Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
Hii oppo kakaunatumia sim gan
Za china hazitaki OS , sababu kule whatapp imekuwa banned. Jaribu ku rig iruhusu app za njeSijuii whatsapp wana shida ganii mbn hata mm nkijisajili yaan nkikaaa kidogo tu wananiambiaaa you have log out of this account nikiingiaa want niambiaaa hivoo
shida huyo sio WhatsApp ni Simu iyo kampuni inamigogoro na Wamarekani Hairuusiwi kutumia ata Android even apps za GoogleUnatumia Whatsapp Gani mkuu?
Unaruhusujee mkuuZa china hazitaki OS , sababu kule whatapp imekuwa banned. Jaribu ku rig iruhusu app za nje
Good answer. Kwa kuongezea n kua WhatsApp hapo inamtambua uyo user wa iyo simu kama mchina kutokan na OS ya simuZa china hazitaki OS , sababu kule whatapp imekuwa banned. Jaribu ku rig iruhusu app za nje
Sasa kaka na oppo nayoo inakuaje apooKwa kifupi ipo Hivi SIMU ZA HUAWEI zilipigwa ban na wamarekani katika sakata hilo zikazuiwa kupewa android system na services zote kutoka Google Huawei wakasema sisi tupo vizuri tutaanzisha OS yetu ambayo ndio hiyo hamony na hawatatumia Apps za wamarekani tena
whatsapp nae wale wale wakikuona unatumia system ya HUAWEI wanakulima ban maan wanajua upo china na kampuni iyo ina mgogoro na America
Oppo wanatumia ColorOS nao ni mule mule tofauti na HUAWEI wamelimwa ban kupata Android Operating system ndio maan wanatumia Hamony Operating system walioiunda wao wenyewe HUWAWEISasa kaka na oppo nayoo inakuaje apoo
Hilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.Msaada wakuu
Cm yangu ni huawei.ni used from china
Cm ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini
Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
UongoooooooooKwa kifupi ipo Hivi SIMU ZA HUAWEI zilipigwa ban na wamarekani katika sakata hilo zikazuiwa kupewa android system na services zote kutoka Google Huawei wakasema sisi tupo vizuri tutaanzisha OS yetu ambayo ndio hiyo hamony na hawatatumia Apps za wamarekani tena
whatsapp nae wale wale wakikuona unatumia system ya HUAWEI wanakulima ban maan wanajua upo china na kampuni iyo ina mgogoro na America