Msaada: Simu used ya Huawei inanipata changamoto ya What'sApp

Msaada: Simu used ya Huawei inanipata changamoto ya What'sApp

Kwa kifupi ipo Hivi SIMU ZA HUAWEI zilipigwa ban na wamarekani katika sakata hilo zikazuiwa kupewa android system na services zote kutoka Google Huawei wakasema sisi tupo vizuri tutaanzisha OS yetu ambayo ndio hiyo hamony na hawatatumia Apps za wamarekani tena

whatsapp nae wale wale wakikuona unatumia system ya HUAWEI wanakulima ban maan wanajua upo china na kampuni iyo ina mgogoro na America
Ahamie wechat tu sasa.
 
Hilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.
Kama ana huawei yenye Harmony OS sidhani kama naweza kuwa na playstore.
 
Hilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.
Uyo atakula ban milele maan hata iyo playstore hana Simu yake sio Android ndio maan anakula ban atakua anachoma tu namba zake za simu

hapo abadili tu simu atafute za Android

Wamarekani sio watu wamchezo
 
Inakosaje play store akati ni android phone?
hiyo sio Android phone mkuu Angalia picha aliyoweka pale juuu simu yake inatumia HamonyOS na sio AndroidOS au na picha hujaona kiongozi
 
hiyo sio Android phone mkuu Angalia picha aliyoweka pale juuu simu yake inatumia HamonyOS na sio AndroidOS au na picha hujaona kiongozi

Msaada wakuu
Cm yangu ni huawei.ni used from china
Cm ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini
Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
Mkuu nitafute nikulekebishie sim yako kama upo serious.
 
Sijuii whatsapp wana shida ganii mbn hata mm nkijisajili yaan nkikaaa kidogo tu wananiambiaaa you have log out of this account nikiingiaa want niambiaaa hivoo
Umeshawahi kutumia yale ma WhatsApp ya hovyo hovyo sijui WhatsApp GB, WhatsApp fm sijui WhatsApp what what? [emoji848]
 
Hilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.
Huawei za kuanzia 2020 hazina play store app, zilipigwa ban na US. Ila Huawei za kuanzia 2019 kurudi nyuma zinakubali Play store bila shida.
 
Huawei za kuanzia 2020 hazina play store app, zilipigwa ban na US. Ila Huawei za kuanzia 2019 kurudi nyuma zinakubali Play store bila shida.
watu hawafatiliii technology na mambo yake
 
Oppo wanatumia ColorOS nao ni mule mule tofauti na HUAWEI wamelimwa ban kupata Android Operating system ndio maan wanatumia Hamony Operating system walioiunda wao wenyewe HUWAWEI
Okay basi inawezekanaa ndiyo sababu
 
Back
Top Bottom