Ahamie wechat tu sasa.Kwa kifupi ipo Hivi SIMU ZA HUAWEI zilipigwa ban na wamarekani katika sakata hilo zikazuiwa kupewa android system na services zote kutoka Google Huawei wakasema sisi tupo vizuri tutaanzisha OS yetu ambayo ndio hiyo hamony na hawatatumia Apps za wamarekani tena
whatsapp nae wale wale wakikuona unatumia system ya HUAWEI wanakulima ban maan wanajua upo china na kampuni iyo ina mgogoro na America
Kama ana huawei yenye Harmony OS sidhani kama naweza kuwa na playstore.Hilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.
Uyo atakula ban milele maan hata iyo playstore hana Simu yake sio Android ndio maan anakula ban atakua anachoma tu namba zake za simuHilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.
hawezi kua nayo yaan kwakifupi huyo hawezi tumia App za wamarekani kamweKama ana huawei yenye Harmony OS sidhani kama naweza kuwa na playstore.
Haya mkuu lete ukweliiUongooooooooo
hiyo sio Android phone mkuu Angalia picha aliyoweka pale juuu simu yake inatumia HamonyOS na sio AndroidOS au na picha hujaona kiongoziInakosaje play store akati ni android phone?
hiyo sio Android phone mkuu Angalia picha aliyoweka pale juuu simu yake inatumia HamonyOS na sio AndroidOS au na picha hujaona kiongozi
Mkuu nitafute nikulekebishie sim yako kama upo serious.Msaada wakuu
Cm yangu ni huawei.ni used from china
Cm ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini
Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
Umeshawahi kutumia yale ma WhatsApp ya hovyo hovyo sijui WhatsApp GB, WhatsApp fm sijui WhatsApp what what? [emoji848]Sijuii whatsapp wana shida ganii mbn hata mm nkijisajili yaan nkikaaa kidogo tu wananiambiaaa you have log out of this account nikiingiaa want niambiaaa hivoo
Hiyo ndo yakiduanzi kweli kweliDownload WhatsApp APK
Kivipi?Hiyo ndo yakiduanzi kweli kweli
Huawei za kuanzia 2020 hazina play store app, zilipigwa ban na US. Ila Huawei za kuanzia 2019 kurudi nyuma zinakubali Play store bila shida.Hilo siyo tatizo la sim mkuu. Bali ni aina ya WhatsApp unayotumia. Mara nyingi hutokea ukitumia WhatsApp GB. Fanya hivi download WhatsApp kutoka play store kisha install ila kwenye kuweka namba weka na nyingine tofauti naile uliyokuwa ukitumia WhatsApp. Ila ukitaka utumie namba ileile uliyokuwa ukitumia mwanzo inabidi restore sim yako kisha install WhatsApp kutoka play store only.
watu hawafatiliii technology na mambo yakeHuawei za kuanzia 2020 hazina play store app, zilipigwa ban na US. Ila Huawei za kuanzia 2019 kurudi nyuma zinakubali Play store bila shida.
Wachina hao πKumbe kuna watu bado wanatumia huawei π€¦ββοΈ
Nlitumiagaaa asa nkaacha lakin bado wananipa iyoo textUmeshawahi kutumia yale ma WhatsApp ya hovyo hovyo sijui WhatsApp GB, WhatsApp fm sijui WhatsApp what what? [emoji848]
Okay basi inawezekanaa ndiyo sababuOppo wanatumia ColorOS nao ni mule mule tofauti na HUAWEI wamelimwa ban kupata Android Operating system ndio maan wanatumia Hamony Operating system walioiunda wao wenyewe HUWAWEI
Huawei simu nzuri tu mbona au wewe unazionaje mdada!?Kumbe kuna watu bado wanatumia huawei π€¦ββοΈ