Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 181
Wana Jamii...!!!
Ninayo imani kubwa na jukwaa hili kutokana na manufaa mbalimbali tunayoyapata hasa katika kupata taarifa za muhimu zinazohusu shughuli zetu za kila siku.
Wa-ndugu nipo katika maandalizi ya safari; kama ratiba yangu hapo chini inavyoonyesha:
Siku 1 - Kuondoka Dodoma kuelekea Iringa kupitia Mtera (Tutalala Iringa)
Siku 2 - Kuondoka Iringa kuelekea Makambako (Tutalala Makambako)
Siku 3 - Kuondoka Makambako kuelekea Songea (Tutalala Songea)
Siku 4 - Kuondoka Songea kuelekea Tunduru (Tutalala Tunduru)
Siku 5 - Kuondoka Tunduru Kuelekea Masasi (Tutalala Masasi)
Siku 6 - Kuondoka Masasi kuelekea Ikwiriri (Tutalala Ikwiriri)
Siku 7 - Kuondoka Ikwiriri kuelekea Bagamoyo (Tutalala Bagamoyo)
Siku 8 - Kuondoka Bagamoyo kuelekea Same (Tutalala Same)
Siku 9 - Kuondoka Same kuelekea Arusha (Tutalala Arusha)
Siku 10 - Kuondoka Arusha Kuelekea Tarangire National park (Tutalala Tarangire)
Siku 11 - Kuondoka Tarangire kuelekea Babati (Tutalala Babati)
Siku 12 - Kuondoka Babati kuelekea Dodoma via Kondoa (Mwisho)
Vilevile naambatanisha ramani ya hii safari.

Naomba taarifa zifuatazo:
1. Hali ya barabara (mfano Dodoma Iringa na nyinginezo)
2. Muda wa safari (mfano kutoka Dodoma kwenda Iringa na nyinginezo)
3. Sehemu nzuri kwa chakula katika ya eneo moja na jingine (mfano kati ya Dodoma na Iringa)
4. Vivutio ambavyo naweza kuona wakati wa safari (njiani) au katika miji nitakayopita.
5. Nyumba ya kulala wageni au sehemu wanapofanya camping katika miji tutakayolala; gharama nafuu na yenye ubora. (Kama unaweza kunipatia Jina, namba ya simu au email)
6. Na taarifa nyinginezo ambazo unaona zinaweza kunifaa katika maandalizi yangu.
7. Nauli ya basi
Naamini kila mmoja atachangia kwa sehemu ambayo atakuwa na uzoefu nayo. Natanguliza shukrani zangu kwa michango yenu.
Ninayo imani kubwa na jukwaa hili kutokana na manufaa mbalimbali tunayoyapata hasa katika kupata taarifa za muhimu zinazohusu shughuli zetu za kila siku.
Wa-ndugu nipo katika maandalizi ya safari; kama ratiba yangu hapo chini inavyoonyesha:
Siku 1 - Kuondoka Dodoma kuelekea Iringa kupitia Mtera (Tutalala Iringa)
Siku 2 - Kuondoka Iringa kuelekea Makambako (Tutalala Makambako)
Siku 3 - Kuondoka Makambako kuelekea Songea (Tutalala Songea)
Siku 4 - Kuondoka Songea kuelekea Tunduru (Tutalala Tunduru)
Siku 5 - Kuondoka Tunduru Kuelekea Masasi (Tutalala Masasi)
Siku 6 - Kuondoka Masasi kuelekea Ikwiriri (Tutalala Ikwiriri)
Siku 7 - Kuondoka Ikwiriri kuelekea Bagamoyo (Tutalala Bagamoyo)
Siku 8 - Kuondoka Bagamoyo kuelekea Same (Tutalala Same)
Siku 9 - Kuondoka Same kuelekea Arusha (Tutalala Arusha)
Siku 10 - Kuondoka Arusha Kuelekea Tarangire National park (Tutalala Tarangire)
Siku 11 - Kuondoka Tarangire kuelekea Babati (Tutalala Babati)
Siku 12 - Kuondoka Babati kuelekea Dodoma via Kondoa (Mwisho)
Vilevile naambatanisha ramani ya hii safari.

Naomba taarifa zifuatazo:
1. Hali ya barabara (mfano Dodoma Iringa na nyinginezo)
2. Muda wa safari (mfano kutoka Dodoma kwenda Iringa na nyinginezo)
3. Sehemu nzuri kwa chakula katika ya eneo moja na jingine (mfano kati ya Dodoma na Iringa)
4. Vivutio ambavyo naweza kuona wakati wa safari (njiani) au katika miji nitakayopita.
5. Nyumba ya kulala wageni au sehemu wanapofanya camping katika miji tutakayolala; gharama nafuu na yenye ubora. (Kama unaweza kunipatia Jina, namba ya simu au email)
6. Na taarifa nyinginezo ambazo unaona zinaweza kunifaa katika maandalizi yangu.
7. Nauli ya basi
Naamini kila mmoja atachangia kwa sehemu ambayo atakuwa na uzoefu nayo. Natanguliza shukrani zangu kwa michango yenu.