Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
1. Humwambii kitu na kwao, haswa bibi yake anapoumwa.....yupo tayari hata kukopa nauli akamuone
2. Kila akirudi huko kichwa kinamuuma lkn ndo anapenda kwenda hatari
Kuna nini hapa?!!!! Nimeanza kupatwa na wasiwasi
Mwanamke ambaye hanisikilizi ninamuacha tangu siku ya Kwanza,
Akaolewe na hao anaowasikiliza