Msaada tafadhali: Jinsi ya kupunguza ukubwa wa makalio kwa mwanaume

Msaada tafadhali: Jinsi ya kupunguza ukubwa wa makalio kwa mwanaume

Pole sana mkuu, hapa jaribu kuvaa mashati kama ya braza k yule wa futuhi. Yanaweza kusaidia kuficha hilo tako kiaina.
 
Aisee ni kweli Mkuu moudgulf I remember those days kuna Jamaa alikua ana tuziviwa kiasi kwamba anatunisha mgongo nyuma cause akikaa straight up inaleta Shida alikua Shule tofaut kukutan ni kituoni..
 
Kama ungekuwa marekani au south africa basi wangekufanyia surgery ya kuondoa nyama nyama.. sema ni gharama sana. Pole sana mkuu, uwe na kalio kubwa au dogo bado haikuondolei sifa ya kuwa binadamu, wewe uko sawa wala hauna kalio kubwa unajishtukia tu.
 
Habari ya majukumu wana JF.

Mimi ni mwanaume Aged 23 ni mtanashati (handsome kiasi ) lakini Nina tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likiniondolea ujasiri (confidence) mbele za watu na hata mbele za wanawake.

Nashindwa kuvaa nguo za kuchomekea kwa hofu ya mchomozo wa makalio. Pia T-shirt Nashindwa Kuvaa kabisa nikihofia kujicholesha na Mara Nyingi navaa begi kusudi nipate confidence ya kutembea,Most times nakuwaa natembea Jioni ama usiku at least nakua free kidgo
Honestly ni jambo ambalo Lina niumiza Sana kufikia hata kulia,

Nimewahi kukonda Sana kwa mazoezi(jeshini) lakini pamoja na hayo kufanya mazoezi sana na kupungua mwiil kwa kiasi kikubwa lakini makalio hayapungui kwa kiasi kikubwa kama mwili unavyopungua.

Ombi langu Kwenu kwa anayejua DAWA Au SOLUTION yoyote nzuri ya kupunguza makalio atakuwa kanipa msaada mkubwa kwangu na watanzania wengine wenye matatizo kama hayo ambao hawajui tiba.

Ahsanteni
Hakunaga labda ukafanyiwe operation.

The best thing u can do is to do not pass ur problem to Ur children.

Usizae na mwanamke mwenye makalio makubwa.

# Guys u remember I told you about the consequences of marrying a very beautiful wife or a very curvy wife?

Huyu mtoa mada atakuwa amerithi tatizo lake Kwa mama ake or something.

Pole Sana mkuu
 
Kingsmann,
Aisee thanks very much Mkuu I didn't see this earlier Kingsmann
Conerncing Assessment ,Yes I have done it and Sina Shida huko, na kuhusu koo pande zote Mbili nahisi ni upande wa Mshua ndio kuna hiy gene but sina uhakika
 
Thanks Sana mkuu
Hiii hatari
Yani natakiwe nizae na kimbau mbau

Yeah Mkuu it might be kurithi cause Dada yangu sio kawaida ila sijajua upande upi hasa cause Members wapo kawaida kote

Mkuu kuna tatizo gani kuzaa na a very Beautiful wife Acha a Curvy one

LIKUD,
 
Thanks Sana mkuu
Hiii hatari
Yani natakiwe nizae na kimbau mbau

Yeah Mkuu it might be kurithi cause Dada yangu sio kawaida ila sijajua upande upi hasa cause Members wapo kawaida kote

Mkuu kuna tatizo gani kuzaa na a very Beautiful wife Acha a Curvy one
Unaweza kuzaa mtoto WA kiume halafu akarithi kila kitu Kwa mama ake matokeo yake ndio kama madhila unayo yapata
 
Thanks Sana mkuu
Hiii hatari
Yani natakiwe nizae na kimbau mbau

Yeah Mkuu it might be kurithi cause Dada yangu sio kawaida ila sijajua upande upi hasa cause Members wapo kawaida kote

Mkuu kuna tatizo gani kuzaa na a very Beautiful wife Acha a Curvy one
Usitembelee maeneo ya Zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom