Aisee i feel you broMimi Nina vi chuchu kama vya binti anaeanza kuvunja ungo since class 5 had I now 21,yrs. sijawahi kuapproach dem wala kugonga maana akiviona aibu yake siyo ya nchi hii .sijui nifanyeje ngoja niwe single tu kuliko kuaibika anaejua dawa tafazali???
Mimi Nina vi chuchu kama vya binti anaeanza kuvunja ung0 since class 5 had I now 21,yrs. sijawahi kuapproach dem wala kugonga maana akiviona aibu yake siyo ya nchi hii .sijui nifanyeje ngoja niwe single tu kuliko kuaibika anaejua dawa tafazali???
Mkuu unaambiwa usipende kuvaa nguo za kubana.vaa nguo zikukae vizuri zikuache zisikubane.Surgery hapana Mkuu Never
You know I heard something that can Cure it. So I wrote this thread to Confirm that What I heard its a Solution and to get some New thought as well
Nakushauri piga mazoezi GYM ya kunyanyua vitu vizito ujazie kifua, mabega, mikono. Piga sana zoezi la kutanua mgongo na squats huwa linavuta nyama za matako yanakuwa madogo.
Ina maana ukipiga chuma ukajaza juu ukuwa mkubwa juu vitaendana na makalio utaonekana standard kote.
Sent using Cash Money Wings
Ndo maana yake nn mkuu.Dogo kinachokusumbua no cellulities na nilikuwa na ishu Kama yako.nilienda hospitali muhimbili,Ila nenda kanunue dapsone 100mg inauzwa 45000 ukitoka tu nje ya hospitali Ile pharmacy iko pembeni na benki. Ukipona leta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Shukrani Sana ndugu ntalifanyia kaziMkuu unaambiwa usipende kuvaa nguo za kubana.vaa nguo zikukae vizuri zikuache zisikubane.
Ukipenda ublazamen wa kuvaa kama akina daimond modo zikubane hapo tatizo halitoisha mkuu.
Vaa vizuri nguo kubwa itaondoa tatizo kabisa,mkuu hiyo ndo njia pekee.
Kuna watu wanamiili mikubwa na makalio ila suruali zao wanapunguzisha vizuri kwa fundi na zinawaficha.
Ila sasa hivi baada ya kuwa nguo imstiri mtu ati mtu ndo anaistiri nguo.
Asili ya nguo ni kuficha aibu zetu za ndani,na kuficha aibu lazima ukifiche kitu chake,na kuficha kitu unaweza kuficha kwa muonekano wake na umbile.
Watu wengi tunaficha miili yetu kimuonekano ila kimaumbile sehemu za miili zinaonekana zilivyo.
Mtu anavaa suruali imembana bila shaka tako hutoliona ila umbile la tako utaliona vizuri namna lilivyo.
Na wewe mtoa mada unataka kustiri aibu ya umbile la tako na sio aibu ya muonekano wa tako,kwa sababu muonekano wa tako utaonekana ukiwa uchi tu na wewe hutembei uchi kwa hyo aibu ya muonekano wa tako haiwezi kukukumba.
Ila aibu inayokukumba ni ya maumbile ya makalio yako kuwa makubwa na hilo linahifadhiwa na nguo utakazovaa mkuu.
Vaa nguo zinazokupwaya ili ufiche muonekano wa makalio na utafurahia maisha yako mkuua badala ya kuanza mazoezi ya kupunguza makalio.
Na sidhani kama yatapungua makalio peke yake bali utapungua na mwili oia.sasa hapo utakuta tako litaeendelea kuonekana kubwa kwa mujibu wa mwili wako utakavyokuwa.na hutasolve twtizo mkuu.
Jikubali vaa nguo za kupwaya utqmaliza tatizo na kuonekana umbile la makalio yako Mkuu.
Kwa msaada zaidi wa ushauri njoo PM tuwasiliane ikiwa umetosheka na haya sio lazima uje huko mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha Kaka ni hatari kujihisi hisi kwiingi SanaMkuu kwa sasa tuliowahi kupitia hali kama yako asikwambie mtu kuikubalii ni kazi sana kama mwanaume ila kuwa makini na mazoezi utakayoamua kufanyaa maana mengine yanazidisha badala ya kupunguza mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa sawa yani ni deal na mazoez kwanzia juu ya kiunoNakushauri piga mazoezi GYM ya kunyanyua vitu vizito ujazie kifua, mabega, mikono. Piga sana zoezi la kutanua mgongo na squats huwa linavuta nyama za matako yanakuwa madogo.
Ina maana ukipiga chuma ukajaza juu ukuwa mkubwa juu vitaendana na makalio utaonekana standard kote.
Sent using Cash Money Wings
Mtafute mwanariadha mwenye tako uniletee jibu !kimbia acha uzembe tako litakukumbia atleast 2 hrs kila siku ,Jioni Fanya mazoezi mengineHabari ya majukumu wana JF.
Mimi ni mwanaume Aged 23 ni mtanashati (handsome kiasi ) lakini Nina tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likiniondolea ujasiri (confidence) mbele za watu na hata mbele za wanawake.
Nashindwa kuvaa nguo za kuchomekea kwa hofu ya mchomozo wa makalio. Pia T-shirt Nashindwa Kuvaa kabisa nikihofia kujicholesha na Mara Nyingi navaa begi kusudi nipate confidence ya kutembea,Most times nakuwaa natembea Jioni ama usiku at least nakua free kidgo
Honestly ni jambo ambalo Lina niumiza Sana kufikia hata kulia,
Nimewahi kukonda Sana kwa mazoezi(jeshini) lakini pamoja na hayo kufanya mazoezi sana na kupungua mwiil kwa kiasi kikubwa lakini makalio hayapungui kwa kiasi kikubwa kama mwili unavyopungua.
Ombi langu Kwenu kwa anayejua DAWA Au SOLUTION yoyote nzuri ya kupunguza makalio atakuwa kanipa msaada mkubwa kwangu na watanzania wengine wenye matatizo kama hayo ambao hawajui tiba.
Ahsanteni
kuna jamaa anaitwa Preacher Lawson, He is very proud of that thing.
Learn to understand that it's a part of you and siku zote matokeo ya madawa huwa sio mazuri after some time.