Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia hapa nikutafuna vizazi tu...🤣Hata siku 40 hazijafika? Woiiiiiih
Mtambemenda huyo mtoto, awe na afya dhaifu, lol
Ila wanaume jamani, nyege gani hiziii? Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
babu muache mtoto wa watu kwa muda wa miezi mitatu apumzike mpe muda acha wazimu wa nyege!Habari za asubuhi ndugu zangu,
Naomba kufahamu kuhusu kufanya tendo la ndoa na mke ambaye alijifungua baada ya mwezi mmoja.
Ivi kuna mazara yoyote kwa upande wa mtoto wala kwa mama ?
Miezi mitatu bila kunyanduana kweli...hayo matesobabu muache mtoto wa watu kwa muda wa miezi mitatu apumzike mpe muda acha wazimu wa nyege!
acheni mtu alee mtoto kwanza nayeye akae vizuri kimwili nakiakili miezi mitatu mbona michache sana ndugu! kazi kuendekeza ngono tu!Miezi mitatu bila kunyanduana kweli...hayo mateso
Miezi mitatu bila kugegeda ni mingi sana acha kutudanganya hapaacheni mtu alee mtoto kwanza nayeye akae vizuri kimwili nakiakili miezi mitatu mbona michache sana ndugu! kazi kuendekeza ngono tu!
Nakazia.Mpelekee moto.
kufanya siku 40 wala wiki 6 bila kufanya mapenzi ni shida sanaHata siku 40 hazijafika? Woiiiiiih
Mtambemenda huyo mtoto, awe na afya dhaifu, lol
Ila wanaume jamani, nyege gani hiziii? Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Madhara hakuna ila kuna risk factor ya kupata ujauzito.Habari za asubuhi ndugu zangu,
Naomba kufahamu kuhusu kufanya tendo la ndoa na mke ambaye alijifungua baada ya mwezi mmoja.
Ivi kuna mazara yoyote kwa upande wa mtoto wala kwa mama ?
wewe bata sana wewe!Miezi mitatu bila kugegeda ni mingi sana acha kutudanganya hapa
Ongea na mkeo, muombe tu kwa utararibu una kiu sana unaomba uweke hata kichwa tu......hakunyimi.ni mara moja tu
We shemela..!!! Moto wa kabla ya siku 40? Hiyo mbususu, kama alipushi, si itakuwa ina hali mbaya?Mpelekee moto.