Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
Kama kajifungua muache amalize siku 40!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anakuachia ni mjinga kwani mtoto kafa?Habari za asubuhi ndugu zangu,
Naomba kufahamu kuhusu kufanya tendo la ndoa na mke ambaye alijifungua baada ya mwezi mmoja.
Hivi kuna madhara yoyote kwa upande wa mtoto wala kwa mama?
Yaani mgodi unapewa? wanaweke Huwa wanafundishwa na mimi hapa nakufundisha kwamba ukifanya nje,(mchepuko), mtoto atapata kikohizi kikavu na homa Kali na mafua,(makamasi),yanayo chirizika, kwakifupi mtoto ndiye anaathirika, upo?kuniachiya kivip ? mtoto ajafa