Msaada tafadhali "Mapenzi yamchanganya"

pouwa Mkuu, nitamweleza ingawa alichonieleza leo ni kuwa kila anapompigia ikitokea akapokea hataki kuongea hata dk 2. Pia kakataa akamtembelee kambini hapo hotelini

ndo ameshukuwa superstar hivyo..Dah, namuonea huruma jamaa, ana haki ya kuchanganyikiwa..
 
pouwa Mkuu, nitamweleza ingawa alichonieleza leo ni kuwa kila anapompigia ikitokea akapokea hataki kuongea hata dk 2. Pia kakataa akamtembelee kambini hapo hotelini
Alrite! Alrite! Now I can guarantee you there is something fishy out there, mshkaji wako inabidi ajipange kukabiliana na hali halisi. If it was meant to be suprise, the phone call was supposed to unlock the suprise but kama hana hata muda wa dakika 2, definetly she is trying to run away from suspect questionnaire.
 
hii off topic nimeipenda ila itamuumiza sana jamaa kwani hana hata gari na kazi kaanza mwaka jana. Dah
 
huyo atakuwa anamambo yake na anamtu mwingine wa karibu kwani ninavyojua maswala kama haya huwa yanahitaji ushirikiano sana na mtu wako wa karibu kuna mahitaji madogo madogo lazima akusaidie sasa yeye alisaidiwa na nani na alifanya siri inamaana rafiki yako hana maana kwake na kama ingekuwa surprise angemwambia siku fulani na saa fulani angalia tv fulani utaona kitu iyo ndio ingekuwa suprise but hili ni changa la machoπŸ˜›ound:
 

at least kaja memba mmoja aneelewa maana ya suprise. I hope Lizzy atasoma hii. ubarikiwe Catherine
 
Nimemuuliza kama aliombwa fedha yoyote amesema hakuna lolote aliloambiwa mpaka alipomwona kunako tbc1
 
pouwa Mkuu, nitamweleza ingawa alichonieleza leo ni kuwa kila anapompigia ikitokea akapokea hataki kuongea hata dk 2. Pia kakataa akamtembelee kambini hapo hotelini

hizo ni mojawapo ya dalili za kuachwa,jamaa aikubali hali halisi.you never know,pengine mungu anamuepushia mengi.
 

Sasa nini kimemchanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…